Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Asalam aleikum wanajamvi
jamani kuna jambo linanitatiza na natumai kila mtu anachangia kile anachokijua kuhusu hili,
ni hivi.wapiga kura wote ni watu wazima wanaojielewa hivi inakuaje mtu kapanga foleni kwa mda wa masaa mengi halafu at the end of the day unakuta kaharibu kura yake? Naongelea chaguzi zilizopita na inawezekana na mwaka huu kama kawaida kutakuwepo na kura zitakazoharibika,sasa hawa wanaoharibu kura ni kwamba wanajikomoa au ni tabia au ni kitu gani hasa kinapelekea?? Ahsanteni.
jamani kuna jambo linanitatiza na natumai kila mtu anachangia kile anachokijua kuhusu hili,
ni hivi.wapiga kura wote ni watu wazima wanaojielewa hivi inakuaje mtu kapanga foleni kwa mda wa masaa mengi halafu at the end of the day unakuta kaharibu kura yake? Naongelea chaguzi zilizopita na inawezekana na mwaka huu kama kawaida kutakuwepo na kura zitakazoharibika,sasa hawa wanaoharibu kura ni kwamba wanajikomoa au ni tabia au ni kitu gani hasa kinapelekea?? Ahsanteni.