Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 972
- 1,163
Habari wapendwa natumai wote ni wazima wa afya! nawsalimu kijamhuri ya muungano wa tanzania....!
kiukweli sidhani kma naongea jambo geni au lisilojulikana, ila napenda tu kugusia kwa kuona halipungui zaidi ya kuongezeka.
Llugha ya kiswahili inamchanganyiko wa lugha kubwa ya biashara ambayo ni KIINGEREZA, watanzania wengi walio wasomi sanasana ndio watumiaji wakubwa wa viunganishi vya maneno/sentensi za kiswahili na kiingereza. Mfano; nilipendezwa sana na yule mschana, she was beautiful kwa kweli..! hapa ni neno moja lenye lugha mbili.
Naomba wataalamu na wakuzaji wa lugha ya kiswahili waliangalie kwa jicho la pili, maana tusije kupoteza lugha yetu ttukawa na kizazi kitachoongea lugha nyngine
Note; Tujitahidi kama unatoa sentensi au ujumbe hakikisha una lugha moja ulopenda kutumia kwa wakati huo.
kiukweli sidhani kma naongea jambo geni au lisilojulikana, ila napenda tu kugusia kwa kuona halipungui zaidi ya kuongezeka.
Llugha ya kiswahili inamchanganyiko wa lugha kubwa ya biashara ambayo ni KIINGEREZA, watanzania wengi walio wasomi sanasana ndio watumiaji wakubwa wa viunganishi vya maneno/sentensi za kiswahili na kiingereza. Mfano; nilipendezwa sana na yule mschana, she was beautiful kwa kweli..! hapa ni neno moja lenye lugha mbili.
Naomba wataalamu na wakuzaji wa lugha ya kiswahili waliangalie kwa jicho la pili, maana tusije kupoteza lugha yetu ttukawa na kizazi kitachoongea lugha nyngine
Note; Tujitahidi kama unatoa sentensi au ujumbe hakikisha una lugha moja ulopenda kutumia kwa wakati huo.