Kufuatia juhudi za serekali ya awamu ya 5 ya kupambana na wafanya Biashara waliozoea kukwepa kodi , ambao hivi sasa baadhi Yao , wameanza vitimbi vya kuhujumu serikali kwa kutofikisha bidhaa kwa walaji katika muda unaofaa na bei iliyo ya haki.
Ipo haja kwa serikali kupitia Suma JKT kufanya Biashara ya bidhaa hizo kwa angalau 50% ya hizo Biashara , ili kuweka nidhamu kwa pande zote.
Lakini ili Suma JKT iweze kufanya hivyo Lazima iimarishwe kwa kupewa competent staff walio committed to the course mpaka hapo mifumo yake ya usafiri, ukusanyaji wa kodi na utendaji kwa jumla utapokuwa umekoma, wa regulatory authorities Kama TBS , EWURA , TFDA nk
Ipo haja kwa serikali kupitia Suma JKT kufanya Biashara ya bidhaa hizo kwa angalau 50% ya hizo Biashara , ili kuweka nidhamu kwa pande zote.
Lakini ili Suma JKT iweze kufanya hivyo Lazima iimarishwe kwa kupewa competent staff walio committed to the course mpaka hapo mifumo yake ya usafiri, ukusanyaji wa kodi na utendaji kwa jumla utapokuwa umekoma, wa regulatory authorities Kama TBS , EWURA , TFDA nk