Habari wandugu
Nina matumaini mnaendelea vizuri na mchakato wa kulijenga Taifa sambamba na kujijenga maisha binafsi.... Lengo la thread hii ni kuwataka ushauri
Mimi ni msichana wa miaka 28... nilimaliza chuo kikuu mwaka 2011. Nilipomaliza tu, nilirudi nyumbani Moshi walipo wazazi wangu na kuanza maisha. Mungu alivyomkubwa nilipata kazi.... nimejitahidi kuboresha mazngra ya nyumbani na kumfungulia mzazi biashara. Mwaka huu nataka nianze maisha yangu, nipange nyumba lakini kikwazo kimekuwa mzazi mmoja hataki wakati mzazi mwingine hana shida. Na wana imani nami kwa 100% Nimejaribu kuongea nae amekuwa kama amesusa... je ndugu zangu naombeni ushauri... nifanyeje? Na nikiondoka kwa lazima kuna matatizo gani yatanikumba. Nishaurini mwenzenu
Nina matumaini mnaendelea vizuri na mchakato wa kulijenga Taifa sambamba na kujijenga maisha binafsi.... Lengo la thread hii ni kuwataka ushauri
Mimi ni msichana wa miaka 28... nilimaliza chuo kikuu mwaka 2011. Nilipomaliza tu, nilirudi nyumbani Moshi walipo wazazi wangu na kuanza maisha. Mungu alivyomkubwa nilipata kazi.... nimejitahidi kuboresha mazngra ya nyumbani na kumfungulia mzazi biashara. Mwaka huu nataka nianze maisha yangu, nipange nyumba lakini kikwazo kimekuwa mzazi mmoja hataki wakati mzazi mwingine hana shida. Na wana imani nami kwa 100% Nimejaribu kuongea nae amekuwa kama amesusa... je ndugu zangu naombeni ushauri... nifanyeje? Na nikiondoka kwa lazima kuna matatizo gani yatanikumba. Nishaurini mwenzenu