Kuhama nyumbani

yuleeee

Member
Joined
May 25, 2013
Posts
57
Reaction score
11
Habari wandugu
Nina matumaini mnaendelea vizuri na mchakato wa kulijenga Taifa sambamba na kujijenga maisha binafsi.... Lengo la thread hii ni kuwataka ushauri
Mimi ni msichana wa miaka 28... nilimaliza chuo kikuu mwaka 2011. Nilipomaliza tu, nilirudi nyumbani Moshi walipo wazazi wangu na kuanza maisha. Mungu alivyomkubwa nilipata kazi.... nimejitahidi kuboresha mazngra ya nyumbani na kumfungulia mzazi biashara. Mwaka huu nataka nianze maisha yangu, nipange nyumba lakini kikwazo kimekuwa mzazi mmoja hataki wakati mzazi mwingine hana shida. Na wana imani nami kwa 100% Nimejaribu kuongea nae amekuwa kama amesusa... je ndugu zangu naombeni ushauri... nifanyeje? Na nikiondoka kwa lazima kuna matatizo gani yatanikumba. Nishaurini mwenzenu
 
usihame dadangu n wait mpaka kuolewa mana stayin na wazazi unajifunza meng abt marriage lyf na pia unakua kama furaha yao mana wazaz wakiona watoto wao wanakua na furaha zaid,trst me kwa hlo mana m xperienc da sem lyf
 
Mie
Nakushauri weka Akiba ya kutosha wakati unafanya mkakati wa kuwa tafuta watu wakumshauri mzazi wako juu ya uhamaji wako!! Ni vema uanze maisha yako mwenyewe kwa kua vigezo unavo!! Usisubilie kuolewa ndio uhame hapo utakua hujiamini!! Ni vema uhame kwa baraka zote tafuta watu makini wamshauri mzazi wako!!
 
Ungekuwa mtoto wa kiume ningekushauri uhame.
Ila wewe dada subiri uolewe! Ila kama plans zako sio kuolewa hakikisha unajipanga then ndio uhame

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mi nakushauri ubaki tu hom mpaka utakapoolewa au wazazi wote wakishakubali wenyewe kwa moyo wako. Jijenge taratib kimaisha ukiwa nyumbani utafika tu usijali. Usikwaze wazazi sawa dada??
 
Hamaaaaaaa ufaidi maisha! Ukiolewa hapo hapo utazeekaje sasa? Utatoka jela 1 kwenda ingine! Akuuuuuuuuu! Kuwa na kwako kuna rahaa!

Tena anaesusa ni bi mkubwa wako uongo? Mwenyewe bi mkubwa wangu aligoma kabisaaa mimi kuhama mpaka tulipokubaliana mshahara wangu awe anauchukua yeye! Hapo swadaktaaaaaaa! Alikuwa anahisi nikiishi mwenyewe nitafujafuja mapesa na kumuongezea gharamaaa. Kumbe walaaaaa!
 

mambo!
 

endelea kupoa home wewe, muda ukifika utaondoka bila kutaka, una bahati mwenzio, wewe wa kike ungekuwa wa kiume ungeamua kikatili uhame, usimsikilize lara 1 huyo ni kubwa la maadui, utapotea!
 
Last edited by a moderator:
kaa home
kama upo mkoa ambao ni home kwenu kaa home

nachukia kupangisha mimi ...acha tu ndo maana naishi gesti
 
huyo lazima ni baba.......
wanapenda sana kuona binti zao bado wanastahili kukaa nyumbani kwa wazazi hata kama wameota ndevu, lol!
sitaki kukumbuka kizaazaa cha baba alipoambiwa mchumba anakuja......
pole mwaya, mbembeleze tu mwisho ataelewa, usilazimishe
 
Usiende kabla hamjakubaliana na huyo mzazi anae kubania
Kaa nae, mpe sababu zinazikufanya utake kuondoka hapo
I am sure he/she will understand. Ni uoga tu wa kukuacha
Either wanaogopa you will not provide financially as you do
Au wanadhani maybe ukienda huko utaalika wanaume ndani etc
Muulize kwanini hataki uondoke na muoneshe how you'll mitigate
 
Fuata ushauri wa mzazi anaekataa wewe kuhama

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
endelea kupoa home wewe, muda ukifika utaondoka bila kutaka, una bahati mwenzio, wewe wa kike ungekuwa wa kiume ungeamua kikatili uhame, usimsikilize lara 1 huyo ni kubwa la maadui, utapotea!

Kubwa la maadui or not, we hama banaaaaaaa! Mambo gani unarudi nyumbani saa 12 kama kuku????????/ Umri wenywe ndo best years of ya life. Aibu gani a guy anakuomba mpitie for a drink after job, unamwambia nawahi nyumbani kumenya nyanya na kuchambua mchele!!!!!!!!!!!!! Khaaaaaaaaaaaaaa!

Hayo maisha aliishi bibi yako coz hakubahatika! THANK GOD LIKE I DO THAT YOU WERE BORN IN BETTER TIMES!!!!!!!!!!

YOU ARE NOT GETTING ANY YOUNGER!!!!!!!!!!!! Put that in mind in a flash umegonga 30 afu bado unakunya kwa baba na mama!

Sorry im a bit rude ili uone seriousness ya your situation!!!!!!!!!!!!
 
Hayo aliyobakiza kujifunza baada ya miaka 28 ya kuishi na hao wazazi, acha akajifunzw jinsi ya kuishi na majirani nao bwana. Kha!

Shosti kwani umegundishwa moshi? Kwanza tafuta kazi mtwara huko kwenye gesi. Ukamate $$ na utakutana na mchuchu huko huko. Achana na mambo ya kuatamiwa kama yai bwana. Jiongeze. Kuhama mkoa ndo kuhama home peacefully. I did the same.
usihame dadangu n wait mpaka kuolewa mana stayin na wazazi unajifunza meng abt marriage lyf na pia unakua kama furaha yao mana wazaz wakiona watoto wao wanakua na furaha zaid,trst me kwa hlo mana m xperienc da sem lyf
 
For sure siko peace kuendelea kubaki. Ukirudi saa moja unamkuta amenuna then anakugombeza. Ananiambia kama kazi ni kuchelewa hatanielewa.... for me napata wakati mgumu kwa kweli
 
hapo kwenye bold nafanya imagination how it was teh teh teh
 
hapo kwenye bold nafanya imagination how it was teh teh teh
ha haaa, bora u-imagine tu..... ungenionea huruma....
namshukuru sana bibi yangu (mama mkwe wake) ndo aliingilia kati.....
visingizio kibao, hawana lolote
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…