macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,223
- 60,290
Wanaume wa Bongo shida. Mnapenda kugonga halafu mkigongewa mnalia utadhani mmefiwa? Hii ''chemical reaction'' haitasimama hata siku moja mpaka wamaume tutakapojiheshimu. Wanawake siku hizi wamefunguka macho. Akikuona unachepuka wala hakuulizi bali na yeye analipiza.Habari za wakati huu ni mbaya..
Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.
Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.
Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi
NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Sijakataa kuwa haiumi swali ni je, yeye hachepuki?Alichokisema mtoa mada kina ukweli. Kugongewa kunauma. (Nimeshuhudia kwa watu kadhaa walio umizwa na mapenzi).
Wengi wamechukua maamuzi magumu ya kuua wenzi wao, au kujinyonga.
huo ni uchawi ππππππnaskia raha sio kila maumivu me nashangilia maumivu ya mapenzi si mnajufanyaga magwiji
Typical mind set za wanaume wa kibongo. Wanadhani wao wana leseni ya kuchepuka lakini siyo wake zao.Wewe ni mwanaume? Kweli?
Ooh sorry sikujua. Ujue you sound like a desperate pathetic woman.
Sasa badala ya kutukana watu lifanyie kazi hilo tatizo lako.
Acha niwe kingunge wa uchawihuo ni uchawi ππ
Ulichoongea ni muhi, u sana maana watu hawatumii condomKugongewa kuna uma ukiwa wewe ni limbukeni wa mbunye , napinga ndoa kabsa ila nawashauri wenye ndoa wafundisheni wake zenu mapenzi slama na matumizi ya kinga kwa sababu kugongewa hakukwepeki wakuu.
Hili swali wanaume wengi hatulitaki kwa sababu tumeshajiwekea sheria kuwa mwanaume ni ruksa kuchepuka lakini mwanamke ni hapana. Na mbaya zaidi wanaume wanaopenda kuchepuka sana wana wivu siyo mchezo.Swali mo Sijakataa kuwa haiumi swali ni je, yeye hachepuki?
MNM poleHabari za wakati huu ni mbaya..
Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.
Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.
Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi
NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Kuna mtu aliniomba nimtafutie hiyo app lakini nikaogopa anaweza kunidukua na Mimi badala ya yule alieniambia anataka kumdukua ππ. Nipe jina la hiyo app chief kama haihitaji kuwa na access ya mhusikaMi nakupa na spy app kabisa ili uone kila hatua mpaka jinsi atavyotafunwa ili mambo yasiwe mengi. Vijana wangu watakuwa around kuhakikisha usalama wa shughuli nzima.
Inavyoonekana anamfahamu Alie mgongea, Cha msingi afanye mpango jamaa apigee tako za kutosha na video juu. Unless Hana mpunga.Na yeye atafute wa mtu achape tit for tat
Some dream! Hopefully you didn't spew anything inspired by the kataa ndoa bunch.πI am not a referee but sometimes I have 'refereeic' dreams. Like the one where I had to speak at a wedding party.
If I am to marry, I think you are the woman who'd conquer me. Cause you are so so many things, I can't write them here lest em niggas catch up and steal you away from me.Some dream! Hopefully you didn't spew anything inspired by the kataa ndoa bunch.π
LetmespyKuna mtu aliniomba nimtafutie hiyo app lakini nikaogopa anaweza kunidukua na Mimi badala ya yule alieniambia anataka kumdukua ππ. Nipe jina la hiyo app chief kama haihitaji kuwa na access ya mhusika
Hamna kitu kinauma kama ugongewe demu ambaye umebeba majukumu yote kwake. Unamlisha, kumvisha na kumgharamia starehe zake zote.Hata uwe na pesa bado analiwa, yaani kugongewa inaumiza, unaweza kufa au kujiua.
Mkuu binadamu timamu anatafuta njia ya kutatua tatzo , ukiweza kutafuta njia ya kuzishinda hisia hasi kama uwoga ,chuki ,hasira, wivu , na nk unakuwa umefanikiwa sna .[emoji16]Boss inaonekana uliteseka sana na mapenzi, hatimae umekuwa master[emoji736]