Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 26,722
- 69,828
Wafutiwe leseni maana hii ni hatari fujo ni nyingi sijui zinawanufaisha vip kibiashara.New force alishafungiwa mbona naona kaanza tena fujo.
Wafutiwe leseni maana hii ni hatari fujo ni nyingi sijui zinawanufaisha vip kibiashara.New force alishafungiwa mbona naona kaanza tena fujo.
WawiliWangapi mkuu
Babara yenye magari yenye uhakika ni Dar kasikazini pekee, route zingine zote Tanzania ni ubabaifu tuNew force ni ya Wachina, nilipoonaga wafanyakazi wao wanaanza uswahili wa kupanga vindoo vya Lita 10 kwenye corridor ili kupakia abiria zaidi nilishaachana nao, halafu usb cable hazifanyikazi ndio sitaki hata kulisikia.
Wale Wachina wanaishia ofisini Ubungo, kinachoendelea kwenye mabasi yao huenda hawaelewi kitu.
Kitambo dadakeWawili
Nipo bro majukumu mengi 😀😀Kitambo dadake
Baridi kabisaNipo bro majukumu mengi 😀😀
Vipi wazima.??
Wapuuz kabisa hao...hua sielew kwa nn watu wanakuw comfortable kabisa kupanda hizo gari. Tunajua ajali popote ila hao kwa ligi zao wanarisk kubwa sanaajali ndio zipo hatukatai na haya magari hayana guarantee ya uhai wetu ila Hizo Bus sijawahi kuzipata kabisa .... nakumbuka siku moja nlionekana na dharau ... Mimi ni bora ni postpone safari kuliko kupata hizo kampuni
Abiria wanachangia kukaa kimya kama mazombieHizi kampuni ni za kulimwa faini kubwa sana au kufungiwa maana ni muda mrefu wapo na ligi za kipumbavu utadhani wanashiriki rally.
Alipata mbona 2022 kama sikoseiWewe ni mjinga sana
Toka sauli ameanza lini aliwahi kupata ajali?
Achimwene na yeye kaanza uchawa..!!!
KATARAMA A.K.A Jini KisiraniGari inaitwa Jini kisirani na una akili timamu unapanda kweli?
Hawa wana watu wanawakingia kifua kwahiyo hata abiria wakipaza sauti haisikiki.Abiria wanachangia kukaa kimya kama mazombie