Imekuwa ni tabia ya kawaida kwa watu kugombania kupanda daladala na sijawahi kusikia Serikali au Taasisi yeyote ile kuliwekea utaratibu na msimamo jambo hili. Watu wamekuwa wakiibiwa, kuumizwa na vitendo vinginevyo ambavyo wanadamu asingependa kutendewa.
Najiuliza, Hivi haiwezekani kuweka foleni wakati wa kusubiri basi na tukaingia kwa utaratibu mzuri, basi likijaa tunasubiri. Tunahitaji kujifunza kanuni ya FIFO - First In, Firts Out. Nafikri mambo mengine inabidi tubadilike tu, sio tunaishi kama wanyama, hatuna utaratibu.
Unafikiri nini kifanyike ili kuleta utamaduni wa kupanga foleni?
View attachment 49915
Najiuliza, Hivi haiwezekani kuweka foleni wakati wa kusubiri basi na tukaingia kwa utaratibu mzuri, basi likijaa tunasubiri. Tunahitaji kujifunza kanuni ya FIFO - First In, Firts Out. Nafikri mambo mengine inabidi tubadilike tu, sio tunaishi kama wanyama, hatuna utaratibu.
Unafikiri nini kifanyike ili kuleta utamaduni wa kupanga foleni?
View attachment 49915