Kufutwa kwa Matokeo Zanzibar: Makamba amsafisha Jecha Bungeni

Mphamvu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
10,702
3,288
Waziri wa Mazingira na Muungano, January Makamba amesema kuwa Tangazo la Kufutwa kwa Uchaguzi wa Zanzibar lilitolewa na Tume ya Uchaguzi visiwani humo lilikuwa halali na kwa mujibu wa sheria.

Makamba amesema kwenye kikao cha tume cha tarehe 21 January cha kuamua kutangazwa kuamua kurudiwa kwa uchaguzi, akidi ilitimia na wengi walikubaliana na uamuzi ule. Kwa hiyo uamuzi ni halali kisheria na kikatiba na katiba ya Zanzibar inasema hakuna mwenye mamlaka hata mahakama ya kuhoji au kuchunguza maamuzi yanayotolewa na tume kuhusu uchaguzi.

Amesema hayo Bungeni wakati akitoa ufafanuzi Bungeni kuhusu Mkwamo wa Kisiasa unaoendelea Visiwani Zanzibar.

 
Halali kwa mujibu wa sheria gani? Mbona dogo yupo too local and general kwenye concrete issues!!!
 
Waziri wa Mazingira na Muungano, January Makamba amesema kuwa Tangazo la Kufutwa kwa Uchaguzi wa Zanzibar lilitolewa na Tume ya Uchaguzi visiwani humo lilikuwa halali na kwa mujibu wa sheria.

Makamba amesema kwenye kikao cha tume cha tarehe 21 January cha kuamua
kuatangazwa kuamua kurudiwa kwa uchaguzi, akidi ilitimia na wengi walikubaliana na uamuzi ule, kwa hio uamuzi ni halali kisheria na kikatiba na katiba ya Zanzibar inasema hakuna mwenye mamlaka hata mahakama ya kuhoji au kuchunguza maamuzi yanayotolewa na tume kuhusu uchaguzi.

Amesema hayo Bungeni wakati akitoa ufafanuzi Bungeni kuhusu Mkwamo wa Kisiasa unaoendelea Visiwani Zanzibar.

Uongo mtupu! Wengi walikubalina, minutes za mkutano anazo, wengi waliokubali ni akina nani?

Mgogoro huu ni mkubwa sio kuleta vilaza kama hawa kutoa matamko.

Magufuli hakutaka kujihusisha na huyu mtu akamtupia Ofisi ya Makamu?
 
Waziri wa Mazingira na Muungano, January Makamba amesema kuwa Tangazo la Kufutwa kwa Uchaguzi wa Zanzibar lilitolewa na Tume ya Uchaguzi visiwani humo lilikuwa halali na kwa mujibu wa sheria.

Makamba amesema kwenye kikao cha tume cha tarehe 21 January cha kuamua
kuatangazwa kuamua kurudiwa kwa uchaguzi, akidi ilitimia na wengi walikubaliana na uamuzi ule, kwa hio uamuzi ni halali kisheria na kikatiba na katiba ya Zanzibar inasema hakuna mwenye mamlaka hata mahakama ya kuhoji au kuchunguza maamuzi yanayotolewa na tume kuhusu uchaguzi.

Amesema hayo Bungeni wakati akitoa ufafanuzi Bungeni kuhusu Mkwamo wa Kisiasa unaoendelea Visiwani Zanzibar.


ukizoea vya kunyonga vya kuchinja itakuwa ngumu sana.
 
Waziri wa Mazingira na Muungano, January Makamba amesema kuwa Tangazo la Kufutwa kwa Uchaguzi wa Zanzibar lilitolewa na Tume ya Uchaguzi visiwani humo lilikuwa halali na kwa mujibu wa sheria.

Makamba amesema kwenye kikao cha tume cha tarehe 21 January cha kuamua
kuatangazwa kuamua kurudiwa kwa uchaguzi, akidi ilitimia na wengi walikubaliana na uamuzi ule, kwa hio uamuzi ni halali kisheria na kikatiba na katiba ya Zanzibar inasema hakuna mwenye mamlaka hata mahakama ya kuhoji au kuchunguza maamuzi yanayotolewa na tume kuhusu uchaguzi.

Amesema hayo Bungeni wakati akitoa ufafanuzi Bungeni kuhusu Mkwamo wa Kisiasa unaoendelea Visiwani Zanzibar.


TEHE! TEHE! TEHE!! ETI Na Makamba Naye ANAJIBU Hoja Ya Kuhusu UCHAGUZI Wa ZANZIBAR!! KAMA Kufutwa Kwa Matokeo Yale Ya UCHAGUZI Wa 25 Oct 15! ETI Tangazo La JECHA Lilikuwa Kwa Mujibu Wa SHERIA!!! JE, Ni Mujibu Wa SHERIA Ipi!!!!?? Mbona AMESHINDWA Kuzinukuu Ktk Majibu Yake!! KAMA Alivyoshindwa Huyo JECHA Wao!!!! KWA Mujibu Wa SHERIA Ipi Ya UCHAGUZI, ZEC, VYAMA VYA SIASA Au KATIBA Ya ZANZIBAR Ama MUUNGANO!!!!?? KAMA Ameshindwa Kuzinukuu, Basi Ni MIPASHO Tu Ile Ile Ya JECHA Na Wenzake!!!
 
Waziri wa Mazingira na Muungano, January Makamba amesema kuwa Tangazo la Kufutwa kwa Uchaguzi wa Zanzibar lilitolewa na Tume ya Uchaguzi visiwani humo lilikuwa halali na kwa mujibu wa sheria.

Makamba amesema kwenye kikao cha tume cha tarehe 21 January cha kuamua
kuatangazwa kuamua kurudiwa kwa uchaguzi, akidi ilitimia na wengi walikubaliana na uamuzi ule, kwa hio uamuzi ni halali kisheria na kikatiba na katiba ya Zanzibar inasema hakuna mwenye mamlaka hata mahakama ya kuhoji au kuchunguza maamuzi yanayotolewa na tume kuhusu uchaguzi.

Amesema hayo Bungeni wakati akitoa ufafanuzi Bungeni kuhusu Mkwamo wa Kisiasa unaoendelea Visiwani Zanzibar.


HAYO MAJIBU YA WAZIRI WA SERIKALI MWENYE DHAMANA YA MAMBO YA MUUNGANO? HAKIKA NCHI INAELEKEA PABAYA. CCM MTAFURUGA NCHI NA DAMU YA WATANZANIA ITAKUWA JUU YENU MAANA MNAN'GAN'GANIA MADARAKA KWA NGUVU MUNGU HALAZIMISHWI NA MWANADAMU
 
Nataka kusema mengi sana lakini ukweli unabaki pale pale, KURA ZA CCM ZILIZIDI! Mpaka pale wananchi tutakapoamua kuwapigia kura wengine...
 
Waziri wa Mazingira na Muungano, January Makamba amesema kuwa Tangazo la Kufutwa kwa Uchaguzi wa Zanzibar lilitolewa na Tume ya Uchaguzi visiwani humo lilikuwa halali na kwa mujibu wa sheria.

Makamba amesema kwenye kikao cha tume cha tarehe 21 January cha kuamua kutangazwa kuamua kurudiwa kwa uchaguzi, akidi ilitimia na wengi walikubaliana na uamuzi ule. Kwa hiyo uamuzi ni halali kisheria na kikatiba na katiba ya Zanzibar inasema hakuna mwenye mamlaka hata mahakama ya kuhoji au kuchunguza maamuzi yanayotolewa na tume kuhusu uchaguzi.

Amesema hayo Bungeni wakati akitoa ufafanuzi Bungeni kuhusu Mkwamo wa Kisiasa unaoendelea Visiwani Zanzibar.





Hajamsafisha ila kamfubaza tu. Ni kifungu gani cha sheria kinachosema maamuzi yanayotolewa na tume juu ya uchaguzi hayahojiwi wala kuchunguzwa na mahakama yoyote?

Karudia uozo wa jecha aliposema anafuta matokeo kwa mamlaka aliyopewa bila kutaja kifungu kinachompa mamlaka kwa sababu NI HEWA. VIFUNGU VYA MAKAMBA NA JECHA HAVIPO!

Akidi ya kuamua kutangaza ilitimia, ilitangaza nini? Kwa nini haongelei akidi ya kufuta uchaguzi? Nini kina nguvu kwa makamba, katiba ama akidi?

Kundi la viongozi wahuni wakiamua kwa umoja wao kuvunja katiba ya nchi, wa makamba watakuwa sahihi kwa kuwa akidi imetimia?

Pumbavu kweli huyu kijana. Ana mambo ya kukwaza sana. Anastahili afungiwe jiwe la kusaga shingoni...
 
Back
Top Bottom