ALJAZEERA wanaripoti, kabla ya kufutiwa leseni, wahariri wa Tanzania-Daima walihojiwa kuhusu kuchapisha habari ya Askofu Bangoza kuwataka wananchi wavae nguo nyeupe siku ya kuadhimisha kuzaliwa TANU, saba saba, na kuungana na taasisi za kisiasa na kijamii kudai Tume Huru ya uchaguzi.
LAKINI tuliambiwa na serikali, taarifa kwa umma, kwamba gazeti limeandika habari ya uongo na uzandiki.
Kwa hiyo Askofu Bangoza hakusema maneno hayo?
Tunaomba kuuliza.