Ndugu wadau naomba kama kuna mwenyekujua jinsi ya kufuta uanachama kwenye hi5.com......
Asante Yasin ni katika kukaba hawa wake zetu.....Mkuu kazi rahisi sana ingia kwenye profile ukiingia tu home page angalia upande wa kulia juu kwenye cona utaona wameandika account click pale alafu ikishafunguka page utaona upande wa chini kulia wameandika cancel account so pale unaweza kufuta page yako...Nadhani nimekuelewesha kama hujaelewa uliza wapi hujaelewa nitakusaidia pia...Pamoja
Asante Yasin ni katika kukaba hawa wake zetu.....
makubwa haya, we yoyo wewe kumbe ndo mambo tunayofanyiana haya, sawa bwana
sijaona faida ya hi5 mpaka sasa hivi......zaidi ya kutishia kuanguka kwa mahusiano.....hizi social network kwa wabongo kila mtu ana nia yake wengine nia zao sio chanya........Yo Yo, najua umeuliza jinsi ya kufuta umember, hata hivyo miye nakushauri usifute. Iache iwe kama back up yako ya facebook tu (assuming you are a member)! Punguza mapicha kule na info nyingine sensitive ulizoweka tu. Halafu kama kuna watu huwapendi, basi uwa delete wasiwe marafiki zako...
....kumbuka, kwenye Hi5 kuna degree of customization ambayo ni ngumu kufanyika kwingineko kule. Miye Hi5 sitoiacha!