Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,177
- 2,551
Null null null
Hiyo nayo kali mbaba hizo profile sio za instagram,Facebook,watsap wala Twitter hivyo ni vitu vya academic zaidiHabar wana jf....jamani naomba kujua kama unawez kufungua profile lipya nacte kwa kutumia same index number za mtihani wa form 4 kwan profile lng nalolitumia now linazngua
Hahahhahah umenena !!!!mwambiekijana anaznguaHiyo nayo kali mbaba hizo profile sio za instagram,Facebook,watsap wala Twitter hivyo ni vitu vya academic zaidi
Mimi nakushauri usubir mpaka tarehe 12 ndo walisema watafungua kwa watu walio kosa selection so mpaka siku hiyoo ya tar 12 had 15 kwa uhakika zaid ndo utapata uhakika kama uapply upya au umechaguliwa so kuwa na subira ndugu mda na nafas bado ipojaman hata mm mpaka sasa nakuta wameniandikia "Now wait for second selection that will be released soon" inakuaje hapo ndugu maana kuna watu tayar taatifa zimewafikia kuwa wamekua selected one of the choice.nisaidieni hapo inakuaje
inshaallah nashkuru kwa ushauri wakoMimi nakushauri usubir mpaka tarehe 12 ndo walisema watafungua kwa watu walio kosa selection so mpaka siku hiyoo ya tar 12 had 15 kwa uhakika zaid ndo utapata uhakika kama uapply upya au umechaguliwa so kuwa na subira ndugu mda na nafas bado ipo