Kufungua android phone bila kuloose data

Kufungua android phone bila kuloose data

Playboy

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
1,170
Reaction score
945
Habarini wadau napenda kujua njia youote ile nayoweza kuifungua simu ya android without loosing data yaani ikifunguka isifute chochote msaada tafadhaali ni muhimusimu ilikuwa ya mzee wetu na amefariki sasa kuna taarifa muhimu huwa alikuwa akihifadhi kwenye simu hiyo naombeni msaada .
 
Mkuu usijaribu kufanya chochote hadi upate usimamizi wa mirathi. Hizo data muhimu utatakiwa uwashirikishe na wadogo zako au kaka zako.

From there tutakuelekeza mkuu
 
Mkuu usijaribu kufanya chochote hadi upate usimamizi wa mirathi. Hizo data muhimu utatakiwa uwashirikishe na wadogo zako au kaka zako.

From there tutakuelekeza mkuu
Imesha toka go ahead Na kikao chaa mirathi kimeshakaa na nitakuwa na ndugu zangu akiwepo bi mkubwa kama itafanikiwa kufunguliwa,so sifanyi mimi kama mimi pia ni msaada kwa bi mkubwa wetu kuhusu baaathi ya mambo.
 
Kiongozi ishu ni siriaz sana wala sio kuwazidi kete wenzangu,kunaa watu anawadai na wengine wanaomdai taarifa alikuwa akiweka kwenye email yake naa baadhi ya mikataba ndio tuna shida nayo hasa
NI Aina gani ya simu kaka. Imefungwa kwa parten au password number ?

Tuanzie hpa
 
hizi crack app za kuflash si zinaweza kuread pasword bila kupoteza data...???
 
Wakuu bado nasubiri sijafanikiwa nawategemea
 
hizi crack app za kuflash si zinaweza kuread pasword bila kupoteza data...???
Cracks zimesha kwama kwa android kuanzia 8 na kuendelea mzee yani kuanzia android 8 na kuendelea cracks zinachemka hakuna cha miracle thunder , gsm alladin , infinity wala nini mzee.

Tumia quickshort maker,frp vnrom na frp bypass hapo utafanikiwa na hutopoteza chochote.
 
Ni tecno spark 2 imefungwa na password number
Taarifa zaidi zinahitajika hapa, simu ikiwa imezimwa wakati unaiwasha inawaka hadi mwisho kwenye wallpaper ya screen ndiyo inaomba password au inaomba password kwanza harafu ndiyo inawaka hadi mwisho?

Kama inawaka hadi mwisho zoezi hilo linawezekana, ila kama inaomba password katikati ya kuwaka ndiyo imalizie kuwaka hapo haiwezekani.
 
Taarifa zaidi zinahitajika hapa, simu ikiwa imezimwa wakati unaiwasha inawaka hadi mwisho kwenye wallpaper ya screen ndiyo inaomba password au inaomba password kwanza harafu ndiyo inawaka hadi mwisho?

Kama inawaka hadi mwisho zoezi hilo linawezekana, ila kama inaomba password katikati ya kuwaka ndiyo imalizie kuwaka hapo haiwezekani.
Inawaka kabisa mpakaa kwenye wallpaper ya screen ,ukiiwasha haiombi.
 
Back
Top Bottom