EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Viwanja viwili vinategemea kuwaka moto siku ya mwisho wa kampeni trh 24.
Mgombea wa UKAWA mh Edward Lowassa atakuwa Dar es salaam kwenye viwanja vya Jangwani wakati mgombea wa CCM mh Pombe Magufuli atakuwa jijini Mwanza kwenye uwanja wa CCM Kirumba imejulikana.
Katika rekodi zangu hii ni mara ya kwanza kwa CCM kufunga kampeni zake nje ya jiji la Dar es salaam.
Mgombea wa UKAWA mh Edward Lowassa atakuwa Dar es salaam kwenye viwanja vya Jangwani wakati mgombea wa CCM mh Pombe Magufuli atakuwa jijini Mwanza kwenye uwanja wa CCM Kirumba imejulikana.
Katika rekodi zangu hii ni mara ya kwanza kwa CCM kufunga kampeni zake nje ya jiji la Dar es salaam.