Kufunga Barabara kwa shughuli binafsi

Kufunga Barabara kwa shughuli binafsi

Young Warlock

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
328
Reaction score
112
Kama mara nne hivi nimeshuhudia barabara za kati kati ya mji zinafungwa sababu ya msiba. Unakuta nyumba flani kwenye hiyo barabara ina msiba so barabara inafungwa kwa ajili ya shughuli za kimsiba kufanyikia hapo.

Kuna siku benki flani ilikua inazinduliwa so barabara ikafungwa. kwa wakazi wa Mwanza, Graduu za CBE huwa zinapelekea barabara ile kufungwa kwa muda.

Sasa mm sielewi kama ni ruksa kisheria.
 
Kuna taratibu zinafuatwa-kupata kibali kwa shughuli za namna hiyo toka kwa serikali. Yaani ulidhani wanajifungia tuu???
 
Vibal lazima vitolewe ila kwa hal ya kawaida kwa jiran yako kuna msiba or harusi bado utataka ukatishe hapo hapo mkuu
 
Kuna taratibu zinafuatwa-kupata kibali kwa shughuli za namna hiyo toka kwa serikali. Yaani ulidhani wanajifungia tuu???

basi me nkazan wanajifungia tu.....bt inakua kero cz kama leo me nmelazimika kuchoma mafuta zaidi kutafuta njia nyngine.....
 
Hawafungi tu hovyo bila mpangilio, huwa wanakuwa wamepewa kibali na serikali cha kuwaruhusu kufunga barabara
 
Kama mara nne hivi nimeshuhudia barabara za kati kati ya mji zinafungwa sababu ya msiba. Unakuta nyumba flani kwenye hiyo barabara ina msiba so barabara inafungwa kwa ajili ya shughuli za kimsiba kufanyikia hapo.


Hii desturi imepitwa na wakati. Serikali zetu pia zimepitwa na wakati.
Kuna usumbufu wa kila aina siku hizi kwenye makazi ya watu baada ya saa nne usiku.
 
Kuna mtaa nimepita hapa maeneo ya makao mapya arusha nimekuta mtaa umefungwa kwasababu ya arobaini.. Sasa wafanya biashara wanalalamika sana kwa kukosa biashara kwa wapita njia hiyo kupungua kwa kiasi kikubwa.. Mhusika mmoja akajibu kwa jeuri kwamba wamelipia!!! Je ni halali kufunga barabara?? Na je hiyo ruhusa inatolewa na nani?? Je kila mtu mwenye shughuli akaamua kufunga barabara mambo yataenda kweli??
attachment.php
attachment.php
 
Tanga hiyo tulishazoea....tena uzuri huku kila siku kuna maulidi
 
Kuna mtaa nimepita hapa maeneo ya makao mapya arusha nimekuta mtaa umefungwa kwasababu ya arobaini.. Sasa wafanya biashara wanalalamika sana kwa kukosa biashara kwa wapita njia hiyo kupungua kwa kiasi kikubwa.. Mhusika mmoja akajibu kwa jeuri kwamba wamelipia!!! Je ni halali kufunga barabara?? Na je hiyo ruhusa inatolewa na nani?? Je kila mtu mwenye shughuli akaamua kufunga barabara mambo yataenda kweli??
attachment.php
attachment.php

We acha...me siku hiyo nakuta mtaa Wa Yombo barabarani imefungwa..nkauliza vijana ni Sawa kufunga mtaa sababu ya maulid? Wanasema wana kibali..sasa je ni Sawa kutoa kibari kufunga mtaa.
 
Back
Top Bottom