kufumaniwa kusikie tu...

kufumaniwa kusikie tu...

ACCOUNT FULL

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
1,995
Reaction score
389
Jamaa kafumaniwa na mke wa mtu, akapigwa lakini akaweza kuchomoka uchi mpaka kwake..

MKE; Hee.. kunani? mbona hivyo?
MUME; Majambazi mke wangu, wamenikamata, wameniibia kila kitu mpaka nguo na kunipiga.
MKE; Naona wamekuvalisha na condom..
MUME; Aaah condom nimenunua kujistiri baada ya kuona niko uchi kabisa..
 
Haahaahaa! Ningemshushia kipigo kingine!
 
Duu anajisitiri eee hahaha

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
basi
Sicheki sasa naona kama kuna mbavu inataka kuleta zahmaaaa
 
Hahahaha..
Apana chezea
MKE; Hee.. kunani? mbona hivyo?
MUME; Majambazi mke wangu, wamenikamata, wameniibia kila kitu mpaka nguo na kunipiga.
MKE; Naona wamekuvalisha na condom..
MUME; Aaah condom nimenunua kujistiri baada ya kuona niko uchi kabisa..[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom