Kufuli Stendi ya Daladala Ubungo

Kufuli Stendi ya Daladala Ubungo

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
amini usiamini, matofali unayoyaona ni kama support ya geti la kutokea magari stendo ya daladala Ubungo, kila gari hutozwa kati ya shs 500-1000 kutegemeana na ukubwa lakini hali ya geti ndiyo hiyo............HII NI KWA TZ TU....... 2013-01-19 15.07.55.jpg
 
wanaamini kuwa wakiltengeneza mtagundua kuwa they are making a lot
inawezekana eeh..............halafu nashangaa ushuru unaotozwa pale bado huduma ya choo bado ni kwa kulipia, halafu uchafu kila pembe (japo tunaochafua ni sisi wenyewe)
 
Tanzania Ufisadi kila mahali.................mimi nachukia sana kulipia choo halafu unakuta ni kichafu ajabu
umeonaaa eh, halafu eti kuna wakurugenzi, etc
 
amini usiamini, matofali unayoyaona ni kama support ya geti la kutokea magari stendo ya daladala Ubungo, kila gari hutozwa kati ya shs 500-1000 kutegemeana na ukubwa lakini hali ya geti ndiyo hiyo............HII NI KWA TZ TU.......[/QUOTE]
HAPO KWENYE RED
CLOUDS FM WANASEMAGA ''MADE IN TANZANIA'' MIE NAONGEZEA ''KWA HISANI YA CCM''
 
amini usiamini, matofali unayoyaona ni kama support ya geti la kutokea magari stendo ya daladala Ubungo, kila gari hutozwa kati ya shs 500-1000 kutegemeana na ukubwa lakini hali ya geti ndiyo hiyo............HII NI KWA TZ TU.......[/QUOTE]
HAPO KWENYE RED
CLOUDS FM WANASEMAGA ''MADE IN TANZANIA'' MIE NAONGEZEA ''KWA HISANI YA CCM''
dah, umeua bendi
 
Hapo palikuwepo na chuma kizito cha kubalance, Nona kimepelekwa huko kwenye vyuma chakavu... waka replace na matofali!! chakachua !!
lakini kuna walinzi masaa yote hapo...............kazi sana, na wanapata fedha kila uchao:mvutaji:
 
Back
Top Bottom