Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,602
- 20,101
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unatukana Hadi babu zake aliokufa miaka ya 1840 huko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unatukana Hadi babu zake aliokufa miaka ya 1840 huko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh
Yaani sio kwa aibu Hizo aisee. Qkhaaa!!!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]manzi waswaz hao! Wanaiba hadi sahani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chaaa!!! Nimecheka mpaka mkojo umenibana ghaflaMie nlimfuata dar nkakuta ajuza, sina hamu nae,
Aiiisee we ni noma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lakini una uhakika ilikuwa ya kwako kweli???Miye tanga to moshi!but nkaambulia kutia mimba!tena niko secondary school...!
Hapana mimi haijanikuta bado.Dondosha comment yako tuambie ulienda wapi basiii
Kwamba walikuwa fukara wa kutupa, mpaka wanaiba sahani?Mkuu nilitoka Karatu hadi LUSHOTO nikamkuta mtoto mkali sana bahati mbaya alikuja na mabest zake wawil tukaenda kula hotel flan buffet, kilichonifanya nimchukie yan waliamua kubrba sahan tatu tatu yan walibebanisha sahan tupu chin ya zenye chakula then tulivyofika mezan wakawa wanaziweka kwenye mikoba yao zile tupu ,,kitendo hicho kilinifanya nimdharau sana yule bint kesho yake nikaondoka sikurudi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mi nitakuwa wa mwisho kuchangiaHapana mimi haijanikuta bado.
Wewe je usha wahi msafiria man?
ili tusione au[emoji23] [emoji23] [emoji23] mi nitakuwa wa mwisho kuchangia
Ha ha haaa nije basi huko niwe wa kwanza kujua [emoji101] [emoji101] [emoji101][emoji23] [emoji23] [emoji23] mi nitakuwa wa mwisho kuchangia
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaHa ha haaa nije basi huko niwe wa kwanza kujua [emoji101] [emoji101] [emoji101]
[emoji101] [emoji101] [emoji101]Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaa
bro pesa ipo ???Ha ha haaa nije basi huko niwe wa kwanza kujua [emoji101] [emoji101] [emoji101]
Pesa hakuna dogo hata ivo sifati kitu kinacho husu pesa.
ushasahau huyo manzi alisemaPesa hakuna dogo hata ivo sifati kitu kinacho husu pesa.
Hapana sijawahi ona apo alipo sema.itakua kuna kitu alimaanisha mana naamini anipita ma barabarani hivyo wengi wanamuona tu
kwa maelezo yake huyo anaonkana alifuata mjengo wa mwana,pumbavu kabisa,ndio maana alilala peke yake tena guest house,hiyo nauli angeponda tu raha anunue chips mayai na mishikaki kuliko ujinga alioufanya!Mbeya hadi Dar kufuata dushe???![emoji32][emoji32][emoji32]