fite fite
Senior Member
- Feb 27, 2017
- 113
- 94
Samahani wanajamvi,
Naomba kufahamu kuna memory card niliiweka vitu muhimu sana, niliiweka sehemu, leo naichukua kuoweka kwenye device imegoma kabsa kusoma.
Nimebadili device napata ujumbe wa FORMAT nimeachana nayo nimechukua flash maana taarifa ni muhimu sana nikatunza sehemu mbali mbali, sio bahati nayo flash imegoma kusoma.
Naombeni mwongozo kama kuna uwezekano wa kufufua memory card au flash nawaza zitakuwa zimekufa kama nipo sahihi.
Pili naombeni ushauri njia nyingine salama ya kutunzia documents za muhimu.
Natanguliza shukrani kwenu.
Naomba kufahamu kuna memory card niliiweka vitu muhimu sana, niliiweka sehemu, leo naichukua kuoweka kwenye device imegoma kabsa kusoma.
Nimebadili device napata ujumbe wa FORMAT nimeachana nayo nimechukua flash maana taarifa ni muhimu sana nikatunza sehemu mbali mbali, sio bahati nayo flash imegoma kusoma.
Naombeni mwongozo kama kuna uwezekano wa kufufua memory card au flash nawaza zitakuwa zimekufa kama nipo sahihi.
Pili naombeni ushauri njia nyingine salama ya kutunzia documents za muhimu.
Natanguliza shukrani kwenu.