Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,610
- 113,825
Wanabodi,
Kufuatia Chama cha Democrasia na Maendeleo, Chadema, kukumbwa na migogoro, mitafaruku na sintofamu kadhaa wa kadhaa za hapa na pale haswa kuhusiana na hatma ya timua timua kwa baadhi ya viongozi wake waandamizi na kuwafutia uanachama wao, katika hali iliyopelekea baadhi yao kushindwa kuvumilia dhulma, manyanyaso, na ukiukwaji mkubwa wa haki ndani ya Chadema na hivyo kuitafuta haki yao mahala stahiki pa kupatia hakiambao miongoni mwao, baadhi ya watu wameitafsiri hali hiyo kama ni madudu na maroroso, hivyo yameakatisha kabisa tamaa na matumaini na Chadema kuweza kutuletea ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania hapo 2015 na hivyo kuamua kuachana na rasmi na Chadema.
Inawezekana, miongoni mwao hawa waliokatishwa tamaa na Chadema ni yule Mfadhili Mkuu wa Wazi wa Chadema, Mzee Jaffer Sabodo, nae kuna uwezekano, amechoshwa na madudu na maroroso ya Chama cha Democrasia (jina ) na Maendeleo (ndoto), Chadema, sasa amehamishia majeshi yake chama cha NCCR Mageuzi kwa kuwadonolea kianzio cha Shilingi milioni 20?!.
Hayo yamethibitika asubuhi ya leo baada ya Mzee Sabodo, kuibukia NCCR Mageuzi, wakati wa mkutano wake mkuu.
Inawezekana, Mzee Sabodo ni just one-of, lakini Chadema ni ile ile, inapendwa vile vile, na hata baada ya kumtimua rasmi Zitto, hakutakuwa na any mass exodus ya washabiki na wafuasi wake kumfuata, bali watabakia loyal kwa Chadema as it is now!.
Au pia jee inawezekana Sabodo kawa muwazi tuu na mkweli mwenye guts, lakini kuna wengi waliopoteza imani na Chadema na wame/wata withdraw their support to Chadema, kimya kimya?!.
Vipi kwa upande wako, bado una imani na Chadema?!.
Wasaam
Pasco.
Kufuatia Chama cha Democrasia na Maendeleo, Chadema, kukumbwa na migogoro, mitafaruku na sintofamu kadhaa wa kadhaa za hapa na pale haswa kuhusiana na hatma ya timua timua kwa baadhi ya viongozi wake waandamizi na kuwafutia uanachama wao, katika hali iliyopelekea baadhi yao kushindwa kuvumilia dhulma, manyanyaso, na ukiukwaji mkubwa wa haki ndani ya Chadema na hivyo kuitafuta haki yao mahala stahiki pa kupatia hakiambao miongoni mwao, baadhi ya watu wameitafsiri hali hiyo kama ni madudu na maroroso, hivyo yameakatisha kabisa tamaa na matumaini na Chadema kuweza kutuletea ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania hapo 2015 na hivyo kuamua kuachana na rasmi na Chadema.
Inawezekana, miongoni mwao hawa waliokatishwa tamaa na Chadema ni yule Mfadhili Mkuu wa Wazi wa Chadema, Mzee Jaffer Sabodo, nae kuna uwezekano, amechoshwa na madudu na maroroso ya Chama cha Democrasia (jina ) na Maendeleo (ndoto), Chadema, sasa amehamishia majeshi yake chama cha NCCR Mageuzi kwa kuwadonolea kianzio cha Shilingi milioni 20?!.
Hayo yamethibitika asubuhi ya leo baada ya Mzee Sabodo, kuibukia NCCR Mageuzi, wakati wa mkutano wake mkuu.
Inawezekana, Mzee Sabodo ni just one-of, lakini Chadema ni ile ile, inapendwa vile vile, na hata baada ya kumtimua rasmi Zitto, hakutakuwa na any mass exodus ya washabiki na wafuasi wake kumfuata, bali watabakia loyal kwa Chadema as it is now!.
Au pia jee inawezekana Sabodo kawa muwazi tuu na mkweli mwenye guts, lakini kuna wengi waliopoteza imani na Chadema na wame/wata withdraw their support to Chadema, kimya kimya?!.
Vipi kwa upande wako, bado una imani na Chadema?!.
Wasaam
Pasco.