Kufuatia Gwajima kusambaza nakala za Matokeo ya Bashite, ni kwa nini asikamatwe?

Freyzem

JF-Expert Member
Jun 29, 2013
10,120
24,666
Kutokana na ukweli kabisa kuwa Gwajima alitangaza hadharani kuwa ndugu Daud A. Bashite alinunua cheti cha mtu mwingine na kukitumia kujiendeleza kielimu na kubadilisha majina na kujulikana hivi leo kama Paul C. Makonda ambaye ni RC wa Dar es salaam ni kwanini asikamatwe endapo kama nakala alizozitoa ni za uongo?

Kumekuwa na watu wakisema kuwa ni uongo na kutoa sababu kibao kuwa huyu RC anasingiziwa!

Kama ni kweli anasingiziwa Gwajima akamatwe kwa kusambaza nakala za uongo maana ushahidi upo, kisha huyu RC naye apeleke ushahidi mahakamani au wale wanaosema kasingiziwa!

Nawasilisha...
 
Aliyekuambia watu wanataka kwenda mahakamani ni nani eboo umetumwa:):):)
Tunamwachia mungu mahamani makonda haendi:):):)
 
Gwajima akishitakiwa basi bashite nae sheria lazima ichukue mkondo wake kwa kumchafua gwajima inshu ya Yule mama, vyeti feki,, kutumia jina la mtu mwingine, uvamizi wa kutumia silaha za moto n.k
 
Aliyekuambia watu wanataka kwenda mahakamani ni nani eboo umetumwa:):):)
Tunamwachia mungu mahamani makonda haendi:):):)
Si anazushiwa na kuchafuliwa, aende bhana akamwishtaki Gwajima kwa kusambaza taarifa za uongo tena kupitia jukwaa la injili...
 
Gwajima akishitakiwa basi bashite nae sheria lazima ichukue mkondo wake kwa kumchafua gwajima inshu ya Yule mama, vyeti feki,, kutumia jina la mtu mwingine, uvamizi wa kutumia silaha za moto n.k
Yaani hapo patakuwa patamu...
 
Akamatwe apelekwe mahakamani halafu atakaepiga hayo matokeo atakuwa nani?.Akiambiwa kama sio yake ayalete yake halisi ataweza?.

Mwafaaaaa,hata mgalagale mlie mimi ndio Raisi.
Hivyo huo ni ukweli basi, hasingiziwi wala nini...
 
Makonda akiambia athibitishe hayo matokeo utampa cheti chako?
Hoja hapa ni kuwa kama Makonda anasingiziwa aende apeleke ushahidi wake kama kweli hakupata zero akanunua cheti...
Ukimya wake na mkulu kwenye hili suala ndio unazidi kudhihirisha pasina shaka hizi tuhuma si za kutunga...
 
kwani sirro na bashite si walifunguliwa kesi inaendaje au imeishia juu juu
 
Back
Top Bottom