telitaibi
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 551
- 106
Napajua hapo mahali wanapolima maharage katika eneo hilo la KIA, hata sisi tuliwahi kukodisha shamba katika eneo hilo, nadhani panaitwa MATIBA au MAKIBA, kama sikosei............
Je sasa unadhani kilichimuua huyo mzee ni mazao kukauka au mkopo wa benki?
wakati mwingine ukijifunza si lazima uchangie mimi nipo kupokea elimu zaidi hapa yakinikaa nitakuja kivingine na kuchangia once again thanks niko kielimu zaidi pata mengi kwako karibu kwa mengine zaidi