Kufika kunapo kilele..

Kufika kunapo kilele..

chezeya mwalimu wa practical awe kungwi wangu mie! Kaizer njoo muone sweetlo wako huku anawapa watu alternative to practical mpka mi napata hofu kuhusiana na maslahi yao mwanafunzi wangu!

Mwalimu wangu snowhite mi namkubali sana sweetlo gfsonwin kwa darsa lake manake nomemfunda mi mwenyewe tangu ako na miaka 18 tu.

Sasa ndo nashangaa vijana hawajui kama waZee tupo wakinasia wasinilaumu.

Nimekumiss snowhite
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu wangu snowhite mi namkubali sana sweetlo gfsonwin kwa darsa lake manake nomemfunda mi mwenyewe tangu ako na miaka 18 tu.

Sasa ndo nashangaa vijana hawajui kama waZee tupo wakinasia wasinilaumu.

Nimekumiss snowhite
na waambie kabisa kuwa we lako haliganduki mwanzo mwisho!
mimi miss yu pia dear!nimekuwa tyt lately lakini poa,nikipata kinafasi natupiamo maujuzi!
 
Mh! Hii thread ya Graca kali kweli l:clap2:akini naona mwali keshapata Kungwi Hongera Mwalimu
 
wengine ukigusa sehemu unazosema na zingine ambazo hukusema nacheka-cheka kama anatekenywa vile....

Sasa hapo ndo inakuwaje bi mtaalam gfsonwin??
 
mmh! unajua kufika kilelen kuna msisismko fulan hivi wa mwili mzima kiasi kwamba unakuwa kama umepigwa shoti ya umeme. so angalia tu usije muua mkeo bureee.

Hivi unameza uua? mimi huwa nikiona hali mbaya nazuia mashine kuepusha hilo janga. Ila nilikuwa naplani nifanye mpaka mwisho nione utakuwaje? Je unasemaje hapo my mwalimu gfsonwin?
 
Jameni sasa practical inakuwaje? Makungwi hawa ni wa nadharia tu?
 
mashosti zangu habari za asubuhi.

kutokana na ukweli kuwa wengi wetu huwa hawafiki kileleni wafanyapo mapenzi wewe huwa unatumia mbinu gani kuhakikisha kuwa umepata hiyo raha ya pekee? mind you that lazima umshirikshe mpenzi wako ili kufikia lengo hilo.i

je unawasiliana nae vipi wakati wa majambozi kuhakilisha kuwa anakufikisha japo mara moja tu kwenye game husika?
Nitafuteni kwa wakati kila mtu niwape pindi la kumfikisha mtu kileleni.
Sawasawa!!!
 
swala la penzi acha liitwe penzi tu kwani lilimfanya hata ngoswe asahau kazi aliyotumwa kijijini kufanya aisahau,kisa penzi
 
gfsonwin, kungwi shukrani bwana maana yesto was extra superb!!! nilifaidije!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom