WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Umeridhika au bado?kwa sababu naona majibu yamekaa murua kwelikweli!!!
Nambie ulipo ili kama binafsi siwezi kufika nimwagize mwenzangu aje anaweza kutatua tatizo lako naye pia ni Specialist
hahahahah! umenikumbusha mbali sanaaaaaaaaaaaaaaa lol!yaaah!thts wat i wanted to say!
wakti mwingine watu humaliza kwa makelele kama wanachinjwa vile!
kimsingi inamisha response sahihi!
sauti tu ya kike flani ivi ya mahaba na laini ah !mbona unaweza kujikuta unajidablishia kilele!yani uanusiklizi mpyari mpka we unajipiga shoti mwenyewe!KITU SCHAAAA!DABALI DABALI!
ahahhahahhahahhhahah hili neno la mtongozo umenikumbusha mbali mpaka basi!mshenga wangu alilitumia siku ya send off yangu ,u can imagine umenikumbusha miaka mingapi nyuma!mtongozo huu pasi shaka lol! yaani kwa uzi wa Graca mmeshaanza kutafutiana ma specialist lol! ..........jf bana
hahahahah! umenikumbusha mbali sanaaaaaaaaaaaaaaa lol!
jamani hv kwann lkn??? hii mambo ya mashariki na magharibi bana
ahahhahahhahahhhahah hili neno la mtongozo umenikumbusha mbali mpaka basi!mshenga wangu alilitumia siku ya send off yangu ,u can imagine umenikumbusha miaka mingapi nyuma!
chezeya mfyonzo wa kungwi weye !ahahahhahahahha ndo ushakuwa mtongozo tena!
mie mzima,nipo darsani nakula nondo za mwalimu hapa!we daftari lako la notes liko wapi?
sasa ngoja nikupe shuo uwajue wanawake vzr, mwanamke anaweza kukwambia nakojoa ongeza sidi kumbe fake tu lol! tena anakuambia maneno mengi ili ujue kweli kumbe hana lolote anataka wewe umalize ili asepe zake anaona kama vile anachezewa tu. tena mwingine anakung'ata na kukufinya still ikawa ni fake tu.
kitu kitakachokwambia mwanamke amefika kiuhalisia ni hiki hapa
unaangalia sura yake inavyobadilika kihiisia, pia unaangalia kuta za uke wake yaani wakati anapofikia orgasm constriction and relaxation of vagina inakuambia ukweli na hapa utaona hata lubrication inayotoka inakuwa imeongezeka kidogo na mwili wake husisimka na kutoa viyweleo. mwanamke mwingine akifikia hapo hata machozi humtoka na mwili huwa mwekundu ghafla. so usirelay kwa mananeno ya kuambiwa angalia mwitikio wa vichocheo. hata clitoris husimama kama uume wakati wa climax.
Wewe pole yako.mi niko ofisini naangalia namna ya ya kuondoka hata na shilingi laki 5 kabla ya saa 9:30 si unajua tena bila kufanya ufisadi hakuna money!!!!!!!!
This is real cool!!
"... Unaangalia sura yake inavyobadilika kihisia..." AND "...Constriction and relaxation..." AND "...lubrication inaongezeka kidogo..." AND "...Mwili husisimka na kutoa vinyweleo..."
gfsonwin, nakubalina na hizo sign and symptoms KWANI, Zote ni total and completely INVOLUNTARY ... Hakuna anayeweza tengeenza hizo condition zaidi ya Tukio husika lenyewe. Inahitaji miujiza ku fabricate hizo state!!
BUT, Hicho kigezo cha ... Kutoa machozi ... Mhhh!!? I doubt kama hakitegenezeki bila ya tukio leneyewe!!!
khaaaa! kazi ipo haya niambie lipi?
mie mzima,nipo darsani nakula nondo za mwalimu hapa!we daftari lako la notes liko wapi?
chezeya mwalimu wa practical awe kungwi wangu mie! Kaizer njoo muone sweetlo wako huku anawapa watu alternative to practical mpka mi napata hofu kuhusiana na maslahi yao mwanafunzi wangu!Nimekukubali we mtoto!!!nimeenda kufanya jaribio mchana wa leo kila kitu ulichosema na hasa kwa huyu ambaye si muongo anaetaka kusepa nimeshuhudia kwa macho yangu mwenyewe.Wewe kweli kiboko,nimemchapa mpaka ametoa machozi kama unavyosema halfu wakati anamaliza alikuwa amening'ang'ania na kunibana vibaya mno nikahisi anakata roho,halafu kule ndani nikawa nasikia kama vile mashine inavutwa HALAFU INABANWA NA HUKO NDANI KUKAWA NA VITU VINGI VYA MOTOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!!! !!!Imekaje hii na hasa kwa jaribio nililolifanya??
chezeya mwalimu wa practical awe kungwi wangu mie! Kaizer njoo muone sweetlo wako huku anawapa watu alternative to practical mpka mi napata hofu kuhusiana na maslahi yao mwanafunzi wangu!
mashosti zangu habari za asubuhi.
kutokana na ukweli kuwa wengi wetu huwa hawafiki kileleni wafanyapo mapenzi wewe huwa unatumia mbinu gani kuhakikisha kuwa umepata hiyo raha ya pekee? mind you that lazima umshirikshe mpenzi wako ili kufikia lengo hilo.i
je unawasiliana nae vipi wakati wa majambozi kuhakilisha kuwa anakufikisha japo mara moja tu kwenye game husika?