Jipange usiwe na kimuye muye mapigo yako ya moyo yawe normal yakiwa kasi zaid na kama maandalizi ziro basi kinachofuata nifedhea mapema,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
siyo tatizo, ni kutozoea. lifanye tendo la ndoa kuonekana la kawaida, usiwe unaruhusu mapigo ya moyo kwenda kasi unapotarajia kukutana na lindo lako, kuwa normal maana kinachokutokea ni wewe mwenyewe kujiandaa, sasa unapoingia mechini, wewe tayari ushaiva, inakuwa kuangushia tu
Watu wanaweza wakacheka lakini nafikiri utakuwa umemsaidia mleta mada.
Manake mzigo ukidondoka ni kujitwisha upya..Sasa kama la kwanza limepita kwa nini usitafute la pili??
Mleta uzi fuatlia nyuzi za MziziMkavu utapata majibu ya nini cha kufanya in case mzigo hauna speed governor!
kama unashusha fasta na kuendelea na game wala hakuna tatizo.
lakini kama ukishusha alafu uwezo wa kuendelea na game ya pili hamna, then ni tatizo kubwa sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.