kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
Wakuu amani iwe kwenu!
Kama kila wakati tutajiweka busy na issues za corona na siasa hizi zisizo na maarifa basi tunaweza kujikuta tunajipunguzia siku za kuishi kutokana na sonona. Hivyo basi kuna wakati lazima tupate stori za kuchangamsha kidogo.
Hapa jukwaani kuna topic maarufu na iliyopendwa sana ya "je umewahi kula tunda kimasihara?" Katika thread hiyo vijana wametiririka vya kutosha. Lakini mnajua si mara zote hizi jaribio la kutaka kula tunda kimasihara zinafaulu , sasa kama umewahi kumpanga demu na ukajipanga kula tunda halafu ghafla ukabaniwa hebu weka kisa chako hapa kiroho safi.
Wakati fulani nikiwa mwaka wa 2 chuo kuna jamaa yangu alimtokea binti fulani na binti akamkubalia. Jamaa akatoka na demu kitu cha 25km to town kwenda kula tunda. Muda ulipofika demu akaoga na kweli akampa jamaa tunda ale ila jamaa alishindwa kula na kesho yake akaniambia kuwa alishindwa kumla kwasababu binti alikuwa bikra hivyo alikuwa analia kila jamaa alipojaribu kuingiza mashine . Cha kushangaza ni kwamba binti yule alikuwa anatoka pia na mtu wa masters pale pale chuoni (source ni jamaa mwenyewe)
Kisa cha pili pia ilitokea kwa jamaa yangu mwingine ambaye yeye kuna demu alimzoea kweli. Sasa yeye alishindwa kujua kuwa yule demu anamkubali tu kama rafiki, sasa one day kamuita demu room bila hiana demu akatinga , mara demu akaanza kuona masela wengine wanaaga huyu mara naenda stationary, huyu naonda ground demu akawa anashangaa. Stori stori jamaa akaanza kumsogelea demu mara ashike mkono mara ashike chuchu aisee yule demu alikuja juu kweli akamwambia jamaa si rahisi hivyo unavyodhani jamaa kajitahidi kulalamika demu wapi mwisho wa siku demu akaibuka kidedea. (chanzo ni jamaa yangu wa karibu aliyetokewa na kisanga)
Kwa upande wangu pia demu amewahi kunigomea baada ya mazoea yasiyo na uelekeo one day nikamtania tukalale wote hostel maana that day nilikuwa mwenyewe akakubali. Muda wa kulala ulipofika nikataka nimpige miti akanigomea kabisa na hakuvua suruali kabisa kwa madai kwamba sikumwambia mapema na kwamba hakujiandaa kwa kanga na asingeweza kuoga baada ya hapo, nikamuacha ila baada ya hapo alikubali kuwa demu wangu nilivyompiga siku moja nikasepa mazima.
Tusijione tu wajanja siku zote maana hata mjanja naye anaweza kukataliwa , kama una kisa chako hebu kitupie hapa maswala ya corono hebu tuwaachie MOH na WHO kwasasa.
Kindikwili
Kama kila wakati tutajiweka busy na issues za corona na siasa hizi zisizo na maarifa basi tunaweza kujikuta tunajipunguzia siku za kuishi kutokana na sonona. Hivyo basi kuna wakati lazima tupate stori za kuchangamsha kidogo.
Hapa jukwaani kuna topic maarufu na iliyopendwa sana ya "je umewahi kula tunda kimasihara?" Katika thread hiyo vijana wametiririka vya kutosha. Lakini mnajua si mara zote hizi jaribio la kutaka kula tunda kimasihara zinafaulu , sasa kama umewahi kumpanga demu na ukajipanga kula tunda halafu ghafla ukabaniwa hebu weka kisa chako hapa kiroho safi.
Wakati fulani nikiwa mwaka wa 2 chuo kuna jamaa yangu alimtokea binti fulani na binti akamkubalia. Jamaa akatoka na demu kitu cha 25km to town kwenda kula tunda. Muda ulipofika demu akaoga na kweli akampa jamaa tunda ale ila jamaa alishindwa kula na kesho yake akaniambia kuwa alishindwa kumla kwasababu binti alikuwa bikra hivyo alikuwa analia kila jamaa alipojaribu kuingiza mashine . Cha kushangaza ni kwamba binti yule alikuwa anatoka pia na mtu wa masters pale pale chuoni (source ni jamaa mwenyewe)
Kisa cha pili pia ilitokea kwa jamaa yangu mwingine ambaye yeye kuna demu alimzoea kweli. Sasa yeye alishindwa kujua kuwa yule demu anamkubali tu kama rafiki, sasa one day kamuita demu room bila hiana demu akatinga , mara demu akaanza kuona masela wengine wanaaga huyu mara naenda stationary, huyu naonda ground demu akawa anashangaa. Stori stori jamaa akaanza kumsogelea demu mara ashike mkono mara ashike chuchu aisee yule demu alikuja juu kweli akamwambia jamaa si rahisi hivyo unavyodhani jamaa kajitahidi kulalamika demu wapi mwisho wa siku demu akaibuka kidedea. (chanzo ni jamaa yangu wa karibu aliyetokewa na kisanga)
Kwa upande wangu pia demu amewahi kunigomea baada ya mazoea yasiyo na uelekeo one day nikamtania tukalale wote hostel maana that day nilikuwa mwenyewe akakubali. Muda wa kulala ulipofika nikataka nimpige miti akanigomea kabisa na hakuvua suruali kabisa kwa madai kwamba sikumwambia mapema na kwamba hakujiandaa kwa kanga na asingeweza kuoga baada ya hapo, nikamuacha ila baada ya hapo alikubali kuwa demu wangu nilivyompiga siku moja nikasepa mazima.
Tusijione tu wajanja siku zote maana hata mjanja naye anaweza kukataliwa , kama una kisa chako hebu kitupie hapa maswala ya corono hebu tuwaachie MOH na WHO kwasasa.
Kindikwili