Holota
Senior Member
- Feb 20, 2022
- 114
- 91
Wakuu habarin za muda huu
Moja kwa moja niende kwenye mada nimehitim mwaka juz shahada ya finance baada ya kumaliza nilifanikiwa kufanya sail za sekretareieti ya ajira zaidi ya 6 na zingine zinazo simamiwa na tasisi zenyew mfano TRA lakin zote hizo hakuna hata moja niliyofanikiwa kwenda oral interview
kwa mnaofaulu tupeni siri nin cha kufanya
Juz tena naona nimekuwa shortlisted sail zaid ya 3 hofu yangu kubwa ni kuhisi pia hizo saili sitofanikiwa kupita japo huwa napata marks ambazo napelea kidogo na cuttoff points
Kiifupi nahisi kukata tamaa je kuna mtu ambaye amefanya written nying bila mafanikio na alipata kazi
kwa wale wanaofaulu tupeni siri wakuu kwa sababu hapa nipo nimekata tamaa hata ya kufanya hizo interview
nakaribisha maoni , ushuhuda na ushauri wadau
Moja kwa moja niende kwenye mada nimehitim mwaka juz shahada ya finance baada ya kumaliza nilifanikiwa kufanya sail za sekretareieti ya ajira zaidi ya 6 na zingine zinazo simamiwa na tasisi zenyew mfano TRA lakin zote hizo hakuna hata moja niliyofanikiwa kwenda oral interview
kwa mnaofaulu tupeni siri nin cha kufanya
Juz tena naona nimekuwa shortlisted sail zaid ya 3 hofu yangu kubwa ni kuhisi pia hizo saili sitofanikiwa kupita japo huwa napata marks ambazo napelea kidogo na cuttoff points
Kiifupi nahisi kukata tamaa je kuna mtu ambaye amefanya written nying bila mafanikio na alipata kazi
kwa wale wanaofaulu tupeni siri wakuu kwa sababu hapa nipo nimekata tamaa hata ya kufanya hizo interview
nakaribisha maoni , ushuhuda na ushauri wadau