Kufanya mapenzi ndotoni

Kufanya mapenzi ndotoni

Mmmh mi naotaga aisee wakati mwingine zinakuja sura za ndugu zangu. Afu rahaaaaa yake sasa....
 
Kuna kipindi nilikua naota sana nafanya mapenzi na mwanaume simfaham na alikua mweupe na nywele ndefu zinamfunika uso,,pembeni ya kitanda walikaa wanawake wawili wanatuangalia,,nilikua naota napata raha ajabu kuna kipindi nilifululiza kumuota lakin nishaacha kuota sana kama zamani
Duuuh
 
Kuna kipindi nilikua naota sana nafanya mapenzi na mwanaume simfaham na alikua mweupe na nywele ndefu zinamfunika uso,,pembeni ya kitanda walikaa wanawake wawili wanatuangalia,,nilikua naota napata raha ajabu kuna kipindi nilifululiza kumuota lakin nishaacha kuota sana kama zamani
Atakuwa Nyani ngabu huyo tu😛😀😀😀😀
 
Kuna kipindi nilikua naota sana nafanya mapenzi na mwanaume simfaham na alikua mweupe na nywele ndefu zinamfunika uso,,pembeni ya kitanda walikaa wanawake wawili wanatuangalia,,nilikua naota napata raha ajabu kuna kipindi nilifululiza kumuota lakin nishaacha kuota sana kama zamani
Kama utachunguza wakati huo ulikuwa katika mahusiano ambayo yalikuwa hayakutoshelezi. Sasa ile gap kati ya ulichofikiria kukipata na unachokipata vilikupa mawazo ambayo matokeo yake ni hizo ndoto zilizokuja mahususi ili kubalance. Usihofu si jini mahaba wala nini!! Umepata anakufikisha ndio maana wenge limekwisha!!!
 
Mkuu Hongera sana kwa ilo. Kwa upande wa nyoka huwa unakanyaga nyoka gani?


Kabla sijayakabidhi maisha yangu kwa Bwana Yesu, nilisumbuliwa sana na haya mashetani. Namshukuru sana Mungu Aliyeniokoa na sasa ninaishi maisha yenye usalama na uhakika. Nimepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na nguvu zote za yule mwovu wala hakuna chochote kinachoweza kunidhuru. LUKA 10:19.
 
Uyo nyoka unamkanyaga wakati umevaa viatu au pekupeku.?

Afu wakati nipo shule ya msingi kuna watu walikuja na nyoka wakawa wanamchezea, kweli Mkuu yesu wetu ni kiboko. Akikupa mamlaka unafanya chochote

Kabla sijayakabidhi maisha yangu kwa Bwana Yesu, nilisumbuliwa sana na haya mashetani. Namshukuru sana Mungu Aliyeniokoa na sasa ninaishi maisha yenye usalama na uhakika. Nimepewa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge na nguvu zote za yule mwovu wala hakuna chochote kinachoweza kunidhuru. LUKA 10:19.
 
Sasa ukifanya na mtu unaemfahamu
Utakuwa umefaidi
Ukifanya na mtu unaemfahamu kuna mawili.
.1. Jini amevaa sura yake kwa kuwa anajua ubamfahamu hivyo hautakuwa na hofu sana yaani amani itakutawala na huwezi kutafuta solution
2. Mungu yy mwenyewe anatumika bila kujijua kwa namna ya kichawi

Tiba: kuna namna ya kuomba na kufanya maombi kama akija usiku kufanya na wewe atashindwa nwenyewe maana nwili wako utashindwa kushikika...
 
Imani potofu sana hizo. ..
Mkuu,futa ujinga fanya maisha ila kama hizo ndo profession yako bado utakula vichwa nchi ina wajinga wengi sana hata baadhi ya wasomi wetu
 
Dah.... Ningepata jini wa kike matata sana...ambaye namgonga daily ingekuwa poa sana
 
Mimi najiuliza watu mnaoota hizo ndoto mnawaza nini? Nini hasa kinaendelea kwenye mawazo yenu? Ni kwamba emotional intelligance ipo chini sana hamuwezi kuthibiti hisia zenu? Hayo mambo kuhofia ndoto uliyoota unapoteza muda tu. Eti unaamini kuna watu wanakuja kufanya ngono na wewe kwa nguvu za kishirikina.....seriously?

Sasa jibu linashangaza kwa watu wanaoamini uchawi na mambo yote ya imani zisizo na kichwa wala miguu wanakuambia "wewe hayajakukuta" hahahaaa
 
Mimi pia ni mwaka Jana kila nikilala mchana tu kosa lazima niote nafanya mapenzi na naskia raha ya ajabu ila saiv wala
 
Kuna kipindi nilikua naota sana nafanya mapenzi na mwanaume simfaham na alikua mweupe na nywele ndefu zinamfunika uso,,pembeni ya kitanda walikaa wanawake wawili wanatuangalia,,nilikua naota napata raha ajabu kuna kipindi nilifululiza kumuota lakin nishaacha kuota sana kama zamani
Sasa siku nyingine akirudi;mlazimishe akuoe sio kula mzigo tu wakati anagharamia mwingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom