Kufanya mapenzi na kimada nyumbani kwako

Kufanya mapenzi na kimada nyumbani kwako

Mbangubangu

Senior Member
Joined
May 6, 2013
Posts
188
Reaction score
70
Wadau hii imekaaje kwa wale wapenda michepuko, unanyumba unaishi na familia yako then labda wanasafiri una mpeleka kimada wako na una lala nae na kufanya mapenzi kwenye kitanda kile kile unacholala na mkeo.

Au upo mbali na familia kikazi lakini una chumba au nyumba na mkeo huwa anakuja kukutembelea mnakaa pamoja kwa wiki au zaidi na pale pale akiondoka unapeleka michepuko tena.
 
Unajua haya mambo....huwa.....ngumu sana
 
nipeleke wapi? Cost? Inamdhuru nini mke wangu? Afterall hajui.
 
Unajua haya mambo....huwa.....ngumu sana
Ni roho ngumu tu yaani.....
 
Ni upuuuzi tuu hajitambui ,hamthamini mkewe, hana tabia njema pia
Michepuko sio dili
Njia kuu ndo mpango
 
Achepuke alete michepuko hata mm 10...afu yawezekana mm pia mchepuko wake lkn uliohalalishwa ..ila heshma na taadhima viwepo,kunijali..kwa kila kitu kuwepo....yy acha achepuke tu mpaka ataona haya atajirekebsha ...
 
Mapenzi ni kitu ambacho hakielezeki, yanaweza kukufanya ukawa kama mwendawazimu nusura ya kichaa. Mara tu baada ya kumaliza ndipo akili hukurudia na kitambua ulichokifanya sio.

Wala siwashangai wanaofanya kitendo hiko make ukiwaona ni watu wastaarabu katika jamii na wanaoheshimika.

Kuna wanaofanyia maofisini na sehemu zisizo rasmi, tatizo sio wao bali ni akili nyingine ya ziada na ya muda ndio huamua kufanya hivyo.

Muwasamehe bure
 
Mapenzi ni kitu ambacho hakielezeki, yanaweza kukufanya ukawa kama mwendawazimu nusura ya kichaa. Mara tu baada ya kumaliza ndipo akili hukurudia na kitambua ulichokifanya sio.

Wala siwashangai wanaofanya kitendo hiko make ukiwaona ni watu wastaarabu katika jamii na wanaoheshimika.

Kuna wanaofanyia maofisini na sehemu zisizo rasmi, tatizo sio wao bali ni akili nyingine ya ziada na ya muda ndio huamua kufanya hivyo.

Muwasamehe bure

huo muda ni kama akili huwa inahama mwili unakuja kushtuka baadae
 
huo muda ni kama akili huwa inahama mwili unakuja kushtuka baadae
kwa muda ule akili ile ya kawaida huhama kichwani na sasa akili inabaki ile mhemko tu,alafu baada ya kagoli ka kwanza tu akili inarudi unajidharau na unamdharau yule ulie nae na hata wengine mapenzi huisha siku iyo hiyo baada ya ku do mara moja.
 
kwa muda ule akili ile ya kawaida huhama kichwani na sasa akili inabaki ile mhemko tu,alafu baada ya kagoli ka kwanza tu akili inarudi unajidharau na unamdharau yule ulie nae na hata wengine mapenzi huisha siku iyo hiyo baada ya ku do mara moja.

na majuto ni mjukuu ....
 
Back
Top Bottom