rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Waheshimiwa wana JF,salaam.Naomba kuuliza mbali na kutumia kinga/condomni kipi tena inabidi kukiepuka wakati unajamiana namwana ume/mke ambaye ni HIV +ve.La mwisho je tongue kissing inaruhisiwa?kama hamnavidonda?Asanteni!