Kufanya maandamano ni kosa gani kisheria?

Prof Koboko

JF-Expert Member
Aug 15, 2020
350
2,549
Nataka nikuulize wewe DC au RC au Polisi ambaye unawatishia watu kua utawakamata watakaofanya maandamano, maandamano ya amani yamezuiliwa na Sheria ipi?

Twafahamu kuwa wewe ni kada wa CCM na unatumika. Ufahamu kabisa kama ataumizwa au kuuawa Raia yeyote ambaye atatokana na maandamano haya mwenye kujibu ni wewe ICC na utaishia jela mzee wangu.

Unaposema watu wanachoma vituo vya mafuta na kuchoma matairi au maandamano ni ya vurugu, nani amesema hayo kama siyo unaongezea chumvi kuwatia watu hofu?

Kama viongozi wa vyama husika wamesema wataandamana kwa amani wewe inawazuia kwa lipi? Si usubiri huyo atakayechoma matairi au kituo cha mafuta umkamate?
 
Hii wanayo fanya police ni kitu kinachoitwa, “the doctrine of pre emptive strike”, kuwashambulia au kuwakamata Waandamanaji kabla hawajafanya madhara.

Sijui hii nadharia yao imeekaje maana iko kinyume na rights Nyingine - free assembly and expression. Huko polisi sijui kama wana watu wanaojua hizi mambo kwa ufasaha wake? Labda wapo usingizini
 
Siku wakikamatwa viongozi wa nchi hii, basi raia watafanya shangwe kuliko hata la siku tuliopata uhuru kutoka kwa wakoloni.

Madaraka kila sekta yanaongozwa na watu wasiojua kazi zao wala sheria, wanafanya kazi kwa kulinda matumbo yao. Imefikia hatua raia wamejenga chuki kubwa sana. Hatari hii.
 
Hii wanayo fanya police ni kitu kinachoitwa, “the doctrine of pre emptive strike”... kuwashambulia au kuwakamata Waandamanaji kabla hawajafanya madhara...sujui hii nadharia yao imeekaje maana iko kinyume na rights Nyingine - free assembly and expression...
Huko polisi sijui kama wana watu wanaojua hizi mambo kwa ufasaha wake? Labda wapo usingizini
.
FB_IMG_16038993338499453.jpg
 
lifanyeni basi upesi- wananchi wanawasubilia kwa hamu sana- tokeni huko mliko...mkoloni anaimaliza nchi na nyie bado mnasema mna jambo... lini sasa mtalifanya au mpaka damu zimwagike?
Toka hapo ulipo na uandamane ndipo utaona jambo letu
 
Back
Top Bottom