Kufanya kazi mkoani Mbeya

Kufanya kazi mkoani Mbeya

Anfibix

Senior Member
Joined
Dec 1, 2018
Posts
190
Reaction score
308
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko.

Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakudanganya sana tu,,karibu mbeya!! Nyumba zipo za kutosha ambapo nyumba ya bei kubwa sana ni laki mbili, kuhusu maisha huku maisha ni mzuri kwa sababu aina zote za vyakula mbeya ndio kwenyewe, hata ukiwa na jelo tu utakula kupitisha siku!

Ubaya wa huku labda baridi tu na mvua mvua ambapo kwa kipindi hiki ni janga la kote!! Kama umepangiwa mbeya mjini karibu sana naweza kuwa mwenyeji wako ukipendezewa.
Karibu mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu kweli maisha hatufanani, yaani wewe umepata kazi badala ya kwenda, unaanza kuuliza juu ya kwenda au la! tena sehemu yenyewe ni ndani ya nchi hii hii, utakuwa mtoto wa kishua wewe.
 
Bado hujamjibu swal lake mkuu!!
Duu kweli maisha hatufanani, yaani wewe umepata kazi badala ya kwenda, unaanza kuuliza juu ya kwenda au la! tena sehemu yenyewe ni ndani ya nchi hii hii, utakuwa mtoto wa kishua wewe.

@YoungJigger
 
Issue ya Usalama ni uhakika, ni kweli mzunguko wa pesa ni mdogo ukilinganisha na Dar, Arusha nadhani hata Mwanza.

Ushauri, njoo Mby ni mji unao kua na nyie wageni mnapo kuja mnasaidia kuubadilisha.

Story za kusha ni za kizamani
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko. Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo ni asili yangu Mbeya sikuwahi ishi Mbeya. Siku ya kwanza Mbeya miezi mitatu tu nililaani sana kua kwanini nilikua sitaki kuja hapa jijini Mbeya. Ukishindwa kuishi na kufanikiwa Mbeya basi unatatizo kubwa sana. Karibu sana Mbeya JIJI LA KIJANI.
 
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko. Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya poa sana tena sana.
Chakula fresh ni kingi na bei ni robo ya ile ya Dsm.
Nyumba bei si kubwa kama Dsm.
Kama ni Mkristo utasali mpaka utafurahi mwenyewe.

Watu wa huko ni wakarimu sana na kama kokote kule kaa nao vizuri na hakuna tatizo.
Kama huna mshikaji basi ni PM nitakutembeza sehemu zote.
 
usawa huu unapata kazi alafu unaanza kujiuliza niende? au nisiende?

wakati wewe unajiuliza hivyo mwenzako anajisemea moyoni ata nikipata kazi ya houseboy/girl itafaa sana
 
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko. Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app
Jikinge na ukimwi tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni yeye na mimi ni mimi that's why life is not fair. Watanzania msifosi tufanane. Kila mtu na nafsi yake.
usawa huu unapata kazi alafu unaanza kujiuliza niende? au nisiende?

wakati wewe unajiuliza hivyo mwenzako anajisemea moyoni ata nikipata kazi ya houseboy/girl itafaa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbeya papo vizur asa katika mzunguko wa pesa uwez linganisha na tanga au morogoro sababu imepakana na nchi mbili zambia na malawi kwa hiyo biashara zpo vzr .

Kwa upande wa hali ya hewa ni barid barid kwahiyo mambo ya malaria hakuna mbeya mjin.

Huna misosi ya kutosha mchele saf kutoka kyela. mboga mboga na matunda kutoka tukuyu. usipo enda mbeya utakuwa umefunguia bahat yako ku enjoy maisha.

Nyumba zipo za kutosha kuanzia uswazi hadi sehemu nzuri kama new forest ..

ent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli maisha hatufanani mpendwa, na kwenye hii dunia inabidi tukubali hilo. Yani hatuwezi kuforce usawa hapa duniani, leo mimi niliepata kazi mbeya na dar napata shida kuchagua wapi pa kufanya kazi while kuna mtu anachagua akafanye kazi Spain au Germany anauliza pia aende nchi gani. That's life. It is what it is
Duu kweli maisha hatufanani, yaani wewe umepata kazi badala ya kwenda, unaanza kuuliza juu ya kwenda au la! tena sehemu yenyewe ni ndani ya nchi hii hii, utakuwa mtoto wa kishua wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mbeya City napakubali sana hali ya hewa na vitu vingine viko poa sana as long as una mzunguko wa pesa yako GREEN CITY imetulia. Nakumbuka huko nyuma niliharibu chuo udom nikaona soo kuwaambia washua ikabidi niingie mbeya kimya kimya na kuanza chuo tena mpaka nikamaliza miaka yangu pale TIA. Mpaka kesho na kesho kutwa mbeya city huwa sijiulizi mara mbili mbili kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, mimi ni binti nimebahatika kupata kazi Mbeya ila sijawahi kuishi huko, maisha yangu yote nimesoma na kukulia Dar. Naombeni ushauri kuhusu vyumba, maisha na aina ya watu huko. Wengi wananitisha nisiende nibaki Dar kwasababu Mbeya kuna mzunguko mdogo wa hela pia sio kuzuri wa usalama compared to Dar. Msaada..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kaishi Mbeya hutajutia.... Maisha ni mazuri kule
 
Back
Top Bottom