James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,754
Naomba msaada juu ya jinsi sheria yetu ya Tanzania inavyowazungumzia wafanyakazi ambao wanafanya kazi bila kuwa na mkataba wa ajira.
Je wanapokuwa dismissed wanaweza kudai haki zao?
Msaada wa vifungu vya sheria pia kwa mtakaokuwa mnajibu.
Na pia kama kuna case ambayo imeshawahi tolewa maamuzi juu ya snerio kama hiyo, nayo naomba niijue
Asante.
Je wanapokuwa dismissed wanaweza kudai haki zao?
Msaada wa vifungu vya sheria pia kwa mtakaokuwa mnajibu.
Na pia kama kuna case ambayo imeshawahi tolewa maamuzi juu ya snerio kama hiyo, nayo naomba niijue
Asante.