Kufanya installation ya software katika Ubuntu

kilama

JF-Expert Member
Jul 14, 2015
2,655
1,766
Wakuu habarini za jioni.
Nimeshindwa kufanya installation ya software katika Ubuntu, kwa msaada wa picha naombeni msaada wa maelekezo.

Asanteni
Cc@Chief-Mkwawa
IMG_20210203_181025_BURST002.jpg
 
Ubuntu ni nzuri sana. Mimi ni mwaka wa 6 huu natumia UBUNTU
Naipenda sana, kwenye network naona haisumbui ila kwenye kufanya installation ndo bado sijamaster, nimefanikiwa VLC tu.
 
Hivi ubuntu ina partitions mana wakati naiinstall sikuona option ya kutengeneza partition
 
Naipenda sana, kwenye network naona haisumbui ila kwenye kufanya installation ndo bado sijamaster, nimefanikiwa VLC tu.

Ukitumia terminal haisumbui kufanya installation. Wewe tembelea Google tu basi unapata code ya hiyo kitu. unayotaka ku-install. Unatumia ubuntu varsion ipi?
 
Wakuu habarini za jioni.
Nimeshindwa kufanya installation ya software katika Ubuntu, kwa msaada wa picha naombeni msaada wa maelekezo.

Asanteni
Cc@Chief-Mkwawa View attachment 1693553
Niliwahi kuweka ubuntu Enzi hizo zamani wakati window Xp ndo zilikuwa zinatumika, mambo mengi mengi nilikuwa nakwama ,sikuwa familiar nayo nikaamua kuitoa tu
 
Ukikwama google ni kila kitu explained, kama unatumia terminal, ili maradi ujue ku-run command; sudo upgrade, install n.k. Mimi na tumia version 20.04.
Bahati mbaya hujasema unataka ku-install nini lakini kwa mfano kama unataka ku-install VLC unafungua terminal Alt+Ctrl+T then una-run (Sudo snap install VLC) baada ya kuwa umeingia kama root kwa sudo su
 
Samahani sana mkuu, naomba nisidie hizo hatua
Fungua Terminal App (angalia kwenye app drawer)

Kisha andika

sudo apt update then bonyeza enter (hapa pia itataka password, weka password then enter)

Then,

sudo apt install testdisk


Au tumia App store iliyokuja nayo. Utakuta apps nyingi tu mule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fungua Terminal App (angalia kwenye app drawer)

Kisha andika

sudo apt update then bonyeza enter (hapa pia itataka password, weka password then enter)

Then,

sudo apt install testdisk


Au tumia App store iliyokuja nayo. Utakuta apps nyingi tu mule

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii kitu ndio ilinifanya nipende hizi linux os yaani no next next naona saivi os zote wametoa next next kwenye software nyingi ya unatumia app store zao done
Huyu itakuwa haiconnect kwenye internet ndio shida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom