Mousso drawing
Member
- Jun 6, 2019
- 49
- 24
Habar wana JF nilikuwa nahitaji kufahamu na kupewa taaluma juu ya mtu mwenye makengeza yanatibika! Na tiba yake ipoje? Na je huyo mtu anaweza akawarithisha na watoto wake?
Poa mzee ngoja tuangariUnaletewa muongozo na wajuvi
Haya maneno yote umekosea kuyaandikaHabar wana jf nilikua naihaji kufahamu na kupewa taalubuma juu ya mtu mwenye makengeza nieyanatibika na tiba yake ipoje? Na je uyo mtu anaweza akawalisisha na watoto wake
Sasa nadhani yeye ana makengeza ,kwa hiyo tumvumilie huenda anaona ni sahihi hayo maneno.Haya maneno yote umekosea kuyaandika
Habar
Nilikunaitaji
Taalubum
Nieyanatibika
Ipoje
Akawalisisha
Uyo
Ameshasema ana makengeza. TumvumilieHaya maneno yote umekosea kuyaandika
Habar
Nilikunaitaji
Taalubum
Nieyanatibika
Ipoje
Akawalisisha
Uyo
Kwahiyo utanisaidia au utaendelea kunisimangaHaya maneno yote umekosea kuyaandika
Habar
Nilikunaitaji
Taalubum
Nieyanatibika
Ipoje
Akawalisisha
Uyo
Achana nao...humu kuna wajuzi waji ga wakutosha!Kwahiyo utanisaidia au utaendelea kunisimanga
AsanteAchana nao...humu kuna wajuzi waji ga wakutosha!
Hali hiyo inatibika...nenda Kwa Wataam watakiambia ...Mimi ni shahid,ni kwa kuwa tu humu tunajificha ningekupa ushahidi huo live!
Kama upo Dar ,nenda Muhimbili