Kufahamu engine ya gari kwa Muonekano

KndNo1

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2021
Posts
627
Reaction score
2,064
Gari toleo moja inakuja na engines tofauti tofauti..
Kuna baadhi ambazo muonekano wake unakupa code ya engine iliyopo..
Baadhi ni hizi

Prado 70..
Imeandikwa neno Turbo kwenye front grill hiyo ni 2LTE..!

Imeandikwa 3.0 turbo mlango wa nyuma hiyo ni 1KZ

Landcruiser Mkonga
Pua mbele.. 1VDFTV
Usiijaribu ukidhani ni mchovu 1hz.. Utaaibika kama mashine yako ndogo..

Hilux pua 1KD..!


Rav4 L V
Hii huwa inakuwa na 3S GE.. Ni tofauti na zile 3S zilizozoeleka.. Hii mwendo upo..


Aristo hii 2jz plain.. Haina mwendo..
V300 Aristo hii 2jz gte.. Turbo ikikickin ni stori nyingine.. Usiifuate..

Harrier
350G..Hii mashine 2GR..kaa nayo mbali usije kupasua pistons..!

Fuga
350GT VQ35
Usiifuate kama una Crown 4GR/Altezza/320i/C200

Vitz RS
1NZ yenye turbo.. Usipokuwa makini inakutoa nishai..!

Subaru
Zimezoeleka ni gari za Kelele nyingi ila Mwendo hakuna..!
Ukikutana na yenye logo STi..EJ25 Iogope kama STDs..!

LC100 ukiona V8 badge..
Hiyo ni Petrol..2UZ..
Ina mwendo kuliko 100 series zote..!

LC200 GX
1VDFTV.. Haitoboi zaidi ya 240kph..hii ndio ya kuipita vizuri..ukiona tumerekodi video ya Wajerumani kuzipita V8 inakuwa ndio hizi GX..

Discovery 4
TDV6 engine ndogo..
SDV6 engine kubwa.. Kuifukuza ujipange.. Twin turbo..!

BMW 540i(E34)
M60 Chuma kama Chuma.. Mkwaju.. V8 engine.. Ikikuomba njia pisha.. Ukifukuzana nayo utachomoa piston kwenye bonnet..!

BMW iliyoandikwa M
Benz iliyoandikwa AMG
Hizi ukibahatika kukutana nazo fanya kupaki pembeni tuu..maana hata uwe na LC300 huwezi moto wa vyuma hivyo..!
 
Hilux inakuja na 1GD ftv hii ngoma achana nayo kabisa vijana wanasema acha iende

Zile LX v8 single turbo zinakaa hapo

Engine hio ipo kwa latest hiace , Prado, Fortuner pia Zina option ya engine hio
 

Attachments

  • big_with_watermark_toyota-hilux-dar-es-salaam-dar-es-salaam-9701.jpg
    16 KB · Views: 45
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…