Kuendelea kwa Website za Forum kunapelekea Uendeleaji wa Technologia ya Internet Tanzania sasa,Na hatimaye nimetokezea kupenda mfumo huu, na sasa wapsite mpya ya forum imetoka ya friend wangu, Chekini hii Rafikiforums.TK ipo bomba kishenzi!
we noma umecopy jf vile vile.
Mi nakupa ushauri tu kama unaamua kuwa na forum unatakiwa uwe na vitu vi 3.
-hela kwa ajili ya domain na support za script na customization
-expert wa kujaza topics za maana
-commitment kwenye forum yako na consistency kila siku uwe unaihudumia hadi hapo itapopata umaarufu.
Ila wewe vitu viwili vya kwanza huna so naona mwisho wa hio forum upo karibu hadi utapovitimiza
Nafasi za Umode pamoja Admin Zinapatikana ikiwa utakuwa na Ushirikiano mzuri, na ni buree
Yaszone ndie Admin wa Zenjweb.Tk
ok nimewasoma, but mumetumia script gani? Na site ipo hosted wapi? Maana inaload slow mbaya
Tatizo sio script ila host ndio tatizo me na2mia 000webhost kaka,sina uwezo wa kutafuta host za hela..
Na domain ilikuwa nimetengeza zamani ila ilikuwa cii2mii ndio nikaona bora nii2mie lakini hata mimi cjaipenda
good try but unatakiwa uyi pangilie vizuri coz me naona table tu work hard niga