Kuendelea kwa Website za Forum

Kuendelea kwa Website za Forum

hehhehe hili jina la rafikiforums ni langu longtime kuna mtu humu aliniomba nitengeneze forum ya kibongo mpya ili watu wapate forum nyengine ya kibongo ndio nikatumia hili jina mwanzo nikaita rafikiforums.tk just kumuonyesha jamaa demo kisha nikabadilisha na kuuita maishaforums.com

Kaka unazusha tu, jina halijawahi kutumika.
 
hehhehe hili jina la rafikiforums ni langu longtime kuna mtu humu aliniomba nitengeneze forum ya kibongo mpya ili watu wapate forum nyengine ya kibongo ndio nikatumia hili jina mwanzo nikaita rafikiforums.tk just kumuonyesha jamaa demo kisha nikabadilisha na kuuita maishaforums.com

Mbona yako kimeo mkuuu
 
Mm nli sign up ila tangu week 2 Zlizopta inakataaa ku log in? Y
 
Back
Top Bottom