bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,228
- 2,475
Nimeshindwa hata kujua nimshauri nini binti yangu ingawa kwa fikra zake alitaka aende CCP.Kwani wew unaonaje?
Bachelor in Marketing and Entrepreneurship.Uko chuo anasoma course gani?
Hata husemi chuo Gani, course Gani?Habari Wanabodi,
Nina binti yangu yuko mwaka wa kwanza chuo akiwa na 80% ya mkopo HESLB ila amekuwa shortlisted usaili wa Jeshi la Polisi.
Hivyo naomba mawazo yenu aendelee na Chuo au aende CCP ikitokea amepita usaili?
Natanguliza shukran.
Ushauri huu uzingatiwee.Aende kwenye usaili na kama akifuzu usaili aende polisi. Chuo atajisomesha akiwa kazini
km yeye anataka aendee huko CCP bas muache aendee. Maana maamuzi ni kwa manufaa yakeNimeshindwa hata kujua nimshauri nini binti yangu ingawa kwa fikra zake alitaka aende CCP.
Bachelor in Marketing and Entrepreneurship yupo MOCU.Hata husemi chuo Gani, course Gani?
Anasoma Bachelor in Marketing and Entrepreneurship.Chuo lakini hakikisha anasomea kitu ambacho kitamsadia kwenye kazi. Hata Polisi anaweza kwenda baada ya chuo hiyo pesa atakulipa maana anapanda cheo haraka na elimu. Ushauri wangu ni kitu gani anasoma nashauri asome vitu kama software engineering, design, Accounting, Finance au engineering. Akisomea social studies kama sociology na Human resources ni kama kupoteza pesa kama yuko kwenye hizo abadilishe
Kwa ushauri wangu,muache amalize chuo,Tena ana huakika wa asilimia za mkopo,Tena anasome entrepreneur,mengine yatajulikana ,endelea kumtengea fungu fulani akimaliza chuo akikosa plan a kuajiriwa,Basi mjasiliamali uyo atajua pakuanziaBachelor in Marketing and Entrepreneurship.
Naongezea ama ku sisitiza Kama sio ku reinforceUshauri huu uzingatiwee.
Bachelor in Marketing and Entrepreneurship.
Akimbie haraka sana aende kwenye usaili utanishukuru miaka mitatu mbeleBachelor in Marketing and Entrepreneurship.
Anasoma Bachelor in Marketing and Entrepreneurship.
Nashauri aingie tu Polisi si ajabu akiingia huko atasomea hata kitu cha maana huku Pesa tayari inaingia, aachane na hizi course zetu za ajabu ajabu ambazo nina uhakika hata wewe mwenyewe unaona hali halisi kwenye ajira, na biashara zenyewe ndiyo hivoBachelor in Marketing and Entrepreneurship.