bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,228
- 2,473
Habari Wanabodi,
Nina binti yangu yuko mwaka wa kwanza chuo akiwa na 80% ya mkopo HESLB ila amekuwa shortlisted usaili wa Jeshi la Polisi.
Hivyo naomba mawazo yenu aendelee na Chuo au aende CCP ikitokea amepita usaili?
Natanguliza shukran.
Nina binti yangu yuko mwaka wa kwanza chuo akiwa na 80% ya mkopo HESLB ila amekuwa shortlisted usaili wa Jeshi la Polisi.
Hivyo naomba mawazo yenu aendelee na Chuo au aende CCP ikitokea amepita usaili?
Natanguliza shukran.