Magufuli alishasema Mkurugenzi yeyote wa wilaya atakaye mtangaza mshindi wa upinzani atafukuzwa kazi.
Ni wajibu sasa wapinzani kufanya maamuzi magumu, wasusie uchaguzi mpaka itakapo patikana Tume huru na ya haki ya uchaguzi, vingenevyo hawatapata hata kiti kimoja.
Hamna haki, hamna demokrasia, mnashiriki uchaguzi kwenye mazingira haya ili iweje?