Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,896
lakini ccm wao ruksa kufanya siasa"Vyuo ni mahali pa kusoma na kufanya research; vyuo si pahala pa kufanya siasa; siasa mtazikuta mkishamaliza - mtafanya siasa hadi mtazichoka, kwa sasa Hapana, SOMENI
Mkuu kashasema maneno haya bado watu wengine wanamtafuta ubaya siyo.
Siasa ni mchakato wa kufanya maamuzi. Kuna ubaya gani siasa ikifanyika chuoni ambako tunaamini watu wana uelewa mkubwa wa mambo? . kukataza siasa shuleni ni mbinu tu ya CCM za kuua fikra mbadala. Kama imekatazwa tawi la UVCCM vyuo vikuu ni la nini?"Vyuo ni mahali pa kusoma na kufanya research; vyuo si pahala pa kufanya siasa; siasa mtazikuta mkishamaliza - mtafanya siasa hadi mtazichoka, kwa sasa Hapana, SOMENI
Mkuu kashasema maneno haya bado watu wengine wanamtafuta ubaya siyo.