Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,493
- 2,366
Katika uchunguzi mdogo niliofanya nimegundua mambo yafuatayo kuhusiana na media hasa katika mazingira ya mjini
- Magazeti yanayoandika habari za Lowasa kama habari kuu kwa siku hiyo yanaongoza kwa kuuza
- Mijadala ya mitandaoni (Jamii forums, twitter, facebook n.k) ile inayomuhusu Lowasa inaongoza kwa kupata comments nyingi
- Katika TVs ikiisha tu habari inayomuhusu Lowasa watu wanabadilisha channel na kuweka za miziki, maigizo, katuni n.k
- TV zisizoonyesha habari za Lowasa kabisa zina watazamaji wachache
- Mijadala ya kumponda Lowasa ktk TV haipati watazamaji wengi