ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Nimesikia Hazard tayari sasa ni 100% anakwenda R. Madrid kila kitu Tayari.
Barcelona wanataka kumtoa Phillipe Coutinho kwa Chelsea ili wapate fungu la kuwanasa Lacazzete au Dybala.
R. Madrid hawana haja tena kuendelea na kipa wao Navas,pia Rakitic wa Barca kutimkia AC Milan
Barcelona wanataka kumtoa Phillipe Coutinho kwa Chelsea ili wapate fungu la kuwanasa Lacazzete au Dybala.
R. Madrid hawana haja tena kuendelea na kipa wao Navas,pia Rakitic wa Barca kutimkia AC Milan