GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,573
- 108,929
Kocha Mkuu Taifa Stars
Juma Mgunda
Kocha Msaidizi Taifa Stars
Hemed Morocco
Makocha wa Makipa
Juma Kaseja
Ivo Mapunda
Makocha wa Mabeki
Nadir Haroub 'Cannavaro'
Victor Costa 'Nyumba'
Makocha wa Viungo
Seleman Matola 'Mzambia'
Salvatory Edward 'Mtaalam'
Makocha wa Mawinga
Steven Mapunda
Mrisho Ngassa
Makocha wa Washambuliaji
Abeid Msiba
Madaraka Seleman
Mohammed Hussein Mmachinga
Athumani Machupa
Wahamasishaji Wakuu
Jamhuri Kihwelo
Fred Minziro
Jopo la Ufundi na Ushauri Taifa Stars
Charles Mkwasa
Abdallah Kibadeni
Kanali Mstaafu Idi Kipingu
Juma Mwambusi
Oscar Mirambo
Sekilojo Chambuzi
Dua Said
Fikiri Magosso
Athumani China
George Masatu
Meneja wa Timu ( Taifa Stars )
Bakari Malima
Afisa Habari na Uhusiano wa Taifa Stars
Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura ( GENTAMYCINE )
Washauri Wakuu wa Taifa Stars
JamiiForums Members ( Great Thinkers ) Wote.
Rais Samia, Rais wa TFF Karia, Serikali, BMT, Wadau na Wananchi kama hiki nilichokishauri hapa kikifanyika nina uhakika wa 100% kuwa AFCON ya mwakani ( 2025 ) nchini Morocco Taifa Stars itafuzu 16 Bora, itaenda Robo na mambo yakienda vyema hata Nusu Fainali, Fainali hadi kuwa Mabingwa linawezekana na lisipowezana nawaruhusuni mnirudishe rasmi Kwetu Rwanda katika Mkoa wangu wa Gisenyi ambako nitapokelewa na Rais wangu Paul Kagame kwa Heshima zote tukuka.
Rais wa TFF Karia, Katibu Mkuu wa TFF Kidau, Waziri Dkt. Ndumbaro, Msemaji wa TFF Ndimbo na Kaimu Mkurugenzi wa Michezo Mayai najua na nina uhakika kuwa Wote huwa mnanisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo Bandiko langu hili mlichukue, mlifanyie Kazi na mlitekeleze kama nilivyoandika na kushauri hapa leo hii na mtakuja Kukishukuru na hata kunijengea Sanamu langu "Purely Talented, Charismatic Fella,, Game Changer and Entertainer" Mimi.
Juma Mgunda
Kocha Msaidizi Taifa Stars
Hemed Morocco
Makocha wa Makipa
Juma Kaseja
Ivo Mapunda
Makocha wa Mabeki
Nadir Haroub 'Cannavaro'
Victor Costa 'Nyumba'
Makocha wa Viungo
Seleman Matola 'Mzambia'
Salvatory Edward 'Mtaalam'
Makocha wa Mawinga
Steven Mapunda
Mrisho Ngassa
Makocha wa Washambuliaji
Abeid Msiba
Madaraka Seleman
Mohammed Hussein Mmachinga
Athumani Machupa
Wahamasishaji Wakuu
Jamhuri Kihwelo
Fred Minziro
Jopo la Ufundi na Ushauri Taifa Stars
Charles Mkwasa
Abdallah Kibadeni
Kanali Mstaafu Idi Kipingu
Juma Mwambusi
Oscar Mirambo
Sekilojo Chambuzi
Dua Said
Fikiri Magosso
Athumani China
George Masatu
Meneja wa Timu ( Taifa Stars )
Bakari Malima
Afisa Habari na Uhusiano wa Taifa Stars
Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura ( GENTAMYCINE )
Washauri Wakuu wa Taifa Stars
JamiiForums Members ( Great Thinkers ) Wote.
Rais Samia, Rais wa TFF Karia, Serikali, BMT, Wadau na Wananchi kama hiki nilichokishauri hapa kikifanyika nina uhakika wa 100% kuwa AFCON ya mwakani ( 2025 ) nchini Morocco Taifa Stars itafuzu 16 Bora, itaenda Robo na mambo yakienda vyema hata Nusu Fainali, Fainali hadi kuwa Mabingwa linawezekana na lisipowezana nawaruhusuni mnirudishe rasmi Kwetu Rwanda katika Mkoa wangu wa Gisenyi ambako nitapokelewa na Rais wangu Paul Kagame kwa Heshima zote tukuka.
Rais wa TFF Karia, Katibu Mkuu wa TFF Kidau, Waziri Dkt. Ndumbaro, Msemaji wa TFF Ndimbo na Kaimu Mkurugenzi wa Michezo Mayai najua na nina uhakika kuwa Wote huwa mnanisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo Bandiko langu hili mlichukue, mlifanyie Kazi na mlitekeleze kama nilivyoandika na kushauri hapa leo hii na mtakuja Kukishukuru na hata kunijengea Sanamu langu "Purely Talented, Charismatic Fella,, Game Changer and Entertainer" Mimi.