Kuelekea mkutano mkuu wa kamati kuu ya CHADEMA, nategemea maamuzi magumu

Yudatade Edesi Shayo

JF-Expert Member
Aug 2, 2016
2,903
4,306
CHADEMA Kama chama kikuu Cha upinzani.nategemea kamati kuu iliyosheheni wasomi Kama Prof baregu, Prof Abdallah safari, kamanda Heche na wengine, watafanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya demokrasi na uhai wa CHADEMA!!sitegemei wasaliti kusamehewa na kuendelea kubembelezwa.

CHADEMA iliwahi kumfukuza mwanachama na kiongoziii mahiri kama Zitto na CHADEMA ikapata consistency, Dr slaa aliondoka katika ya uchaguzi ulikuwa mgumu na mtamu bado CHADEMA iliongeza majimbo na halmashauri.

Huu si muda wa matamko uchwara, siasa hizi Si zile zakuitana ikulu na kupeana juice, nyakati zimebadilika nchi inahitaji upinzani imara na thabiti kuliko wakati mwingine wowote ule.

Hakuna nafasi ya wasaliti na wachumia tumbo kama CHADEMA haitaki kufa "natural death huu ndo wakati muafaka wakuchukua hatua na kuonesha kwa wananchi bado ni chama kikuu cha upinzani.

All the best kamati kuu tunategemea makubwa kutoka kwenu na siyo matamko uchwara yasiyo na mashiko!!
 
Tamko la Chadema litajikita kwny;
1) Mifano ya Udikteta ya Rais Magufuli
2)Matibabu ya Lissu
3) Kuibiwa kura kwny Uchaguzi Mdogo
4) Hujuma za kununuliwa Viongozi wake

The Mbowe atamalizia kwa kusema Sasa Uvumilivu umefika Mwisho Sijui hawatakubali nanhawatarudi nyuma!
Hakuna cha Ziada
 
CHADEMA Kama chama kikuu Cha upinzani.nategemea kamati kuu iliyosheheni wasomi Kama Prof baregu, Prof Abdallah safari, kamanda Heche na wengine, watafanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya demokrasi na uhai wa CHADEMA!!sitegemei wasaliti kusamehewa na kuendelea kubembelezwa.

CHADEMA iliwahi kumfukuza mwanachama na kiongoziii mahiri kama Zitto na CHADEMA ikapata consistency, Dr slaa aliondoka katika ya uchaguzi ulikuwa mgumu na mtamu bado CHADEMA iliongeza majimbo na halmashauri.

Huu si muda wa matamko uchwara, siasa hizi Si zile zakuitana ikulu na kupeana juice, nyakati zimebadilika nchi inahitaji upinzani imara na thabiti kuliko wakati mwingine wowote ule.

Hakuna nafasi ya wasaliti na wachumia tumbo kama CHADEMA haitaki kufa "natural death huu ndo wakati muafaka wakuchukua hatua na kuonesha kwa wananchi bado ni chama kikuu cha upinzani.

All the best kamati kuu tunategemea makubwa kutoka kwenu na siyo matamko uchwara yasiyo na mashiko!!
Mbowe anaenda masomoni nafasi yake kama Mwenyekiti itakaimiwa na Prof Baregu na ile ya KUB atakaimu J J Mnyika!!!
 
Tamko la Chadema litajikita kwny;
1) Mifano ya Udikteta ya Rais Magufuli
2)Matibabu ya Lissu
3) Kuibiwa kura kwny Uchaguzi Mdogo
4) Hujuma za kununuliwa Viongozi wake

The Mbowe atamalizia kwa kusema Sasa Uvumilivu umefika Mwisho Sijui hawatakubali nanhawatarudi nyuma!
Hakuna cha Ziada
Haswaaaa
 
Screenshot_2017-12-06-19-34-50.png
 
Humphrey polepole no mweupe kichwani siyo mwanasiasa ila na shangaa vipi ameweza kuwazima wapinzani!he is able to anticipate every move ya wapinzani!
 
Tamko la Chadema litajikita kwny;
1) Mifano ya Udikteta ya Rais Magufuli
2)Matibabu ya Lissu
3) Kuibiwa kura kwny Uchaguzi Mdogo
4) Hujuma za kununuliwa Viongozi wake

The Mbowe atamalizia kwa kusema Sasa Uvumilivu umefika Mwisho Sijui hawatakubali nanhawatarudi nyuma!
Hakuna cha Ziada

5) Pohamba ni mtoto
 
Tamko la Chadema litajikita kwny;
1) Mifano ya Udikteta ya Rais Magufuli
2)Matibabu ya Lissu
3) Kuibiwa kura kwny Uchaguzi Mdogo
4) Hujuma za kununuliwa Viongozi wake

The Mbowe atamalizia kwa kusema Sasa Uvumilivu umefika Mwisho Sijui hawatakubali nanhawatarudi nyuma!
Hakuna cha Ziada[/QUOTE
.......
.......Muda UTAONGEA
 
CHADEMA Kama chama kikuu Cha upinzani.nategemea kamati kuu iliyosheheni wasomi Kama Prof baregu, Prof Abdallah safari, kamanda Heche na wengine, watafanya maamuzi magumu kwa maslahi mapana ya demokrasi na uhai wa CHADEMA!!sitegemei wasaliti kusamehewa na kuendelea kubembelezwa.

CHADEMA iliwahi kumfukuza mwanachama na kiongoziii mahiri kama Zitto na CHADEMA ikapata consistency, Dr slaa aliondoka katika ya uchaguzi ulikuwa mgumu na mtamu bado CHADEMA iliongeza majimbo na halmashauri.

Huu si muda wa matamko uchwara, siasa hizi Si zile zakuitana ikulu na kupeana juice, nyakati zimebadilika nchi inahitaji upinzani imara na thabiti kuliko wakati mwingine wowote ule.

Hakuna nafasi ya wasaliti na wachumia tumbo kama CHADEMA haitaki kufa "natural death huu ndo wakati muafaka wakuchukua hatua na kuonesha kwa wananchi bado ni chama kikuu cha upinzani.

All the best kamati kuu tunategemea makubwa kutoka kwenu na siyo matamko uchwara yasiyo na mashiko!!
.......
......M4C " evolution"
 
hayo maamuzi magumu iwe ni pamoja na kukataa makapi ya ccm ikiwepo kina lowasa, sumaye, kingunge, nk wote watimuliwe.. tunataka cdm asilia
 
Nitaunga mkono kwa nguvu zote cdm kususia chaguzi zozote mpaka sasa ili umma na dunia ifahamu kwamba kwa sasa hakuna demokrasia bali ni ukatili na unyama dhidi ya wapinzani. Wapinzani watafute namna nyingine ila sio hii ya watu kuachiwa vilema kisa ccm ionekane inakubalika. Huyo Polepole na mwenyekiti wake wanaweza kuendesha ushindani wa kikabila na kikanda huko ndani ya ccm na washindane vyama vinavyojipendekeza kwa ccm Pia watunze ule unyama wanaofanyiwa kama ushahidi.
 
Back
Top Bottom