Kidimbwi waliwachukua wagosi ili wampe kiki Fiston,matokeo yake wamedhalilishwa wao!.Kuna mpya gani huko Kidimbwi FC?
Azam ni mtoto wa simba,ba hiyo timu ilianzishwa kwa ajili ya kuikata makali yanga,leo watakazana sana,mara paaap watafungwa 2 bila na simba kimtindo mtindoIkiwa ni siku moja imebaki kuelekea kwenye mchezo wa Vodacom Premier League VPL, ambapo Jumapili ya January 7, 2021 wakati Bingwa Mtetezi Mnyama Mkali Simba SC, itakapokwaruzana na Wana lamba lamba Azam FC kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.
Mchezo huo unatarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika 90 kutokana na kila timu kuhitaji ushindi na kujikusanyia alama tatu muhimu ili kuongeza ushindani kwenye kinyang'anyiro cha kutwaa taji la Ligi Kuu Tanzania.
Mpaka sasa kwenye msimamo wa VPL, Simba SC inashika nafasi ya pili kwa alama 38 kwa michezo 16, huku Azam FC wakishika nafasi ya tatu kwa alama 32 kwa michezo 17.
Baadhi ya mashabiki na wadau wa soka wanasema mchezo huo si wa ushindani kwasababu Azam FC wakipambana na Simba SC ni tofauti kabisa wakicheza na Yanga SC
Je kwa mtazamo wako utakuwa mchezo wa aina gani? kweli mchezo huo si ushindani au ni vile tu uwezo wa Simba SC ni mkubwa kuliko Azam FC?
Mpira Biriani... Mpira Ice Cream
Na alienda robo fainal pia.....kazi yenu kulialia nyie vyuraHivi simba alipokuwa anapigwa 5 kule kongo na Misri ilikuwa mchangani eeh!! Leo ndo nimejua
Tena wa kujitolea,sio shabiki wa mikeleleBakhressa ni shabiki wa simba