Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Nyasi za uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Jumatano ya Oktoba 23, 2019, zinatarajia kuwaka moto kwa mpambano mkali na wa kusisimua kwa muda wote wa dakika tishini, katika ile patashika ya Vodacom Premier League VPL, ambapo Mabingwa wa Nchi Simba SC, Mnyama Mkali, watakapokwaruzana na Wana Lamba lamba Ice Cream, Azam FC.
Katika kuendelea na desturi ya ushindi kwa asilimia 100 huku ikiwa imeshinda mechi zote zilizochezwa mpaka sasa, kikosi cha Simba SC chini ya kocha Professor Patrick Aussems, kimejiandaa vilivyo kuwapa burudani Wanasimba na Wadau wa kandanda pamoja na kuweza kupata ushindi na kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa VPL.
Kulitaka Mwana...Kulipewa Mwana
Wanasimba na wapenda soka popote pale, jitokezeni kwa wingi kuwashangilia Mabingwa wa Nchi wenye kuonyesha radha ya mpira uwanjani, yaani burudani pamoja na ushindi...
Kandanda la viwango vilivyothibitishwa na Shirikisho la Soka Afrika CAF..NguvuMoja
Katika kuendelea na desturi ya ushindi kwa asilimia 100 huku ikiwa imeshinda mechi zote zilizochezwa mpaka sasa, kikosi cha Simba SC chini ya kocha Professor Patrick Aussems, kimejiandaa vilivyo kuwapa burudani Wanasimba na Wadau wa kandanda pamoja na kuweza kupata ushindi na kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa VPL.
Kulitaka Mwana...Kulipewa Mwana
Wanasimba na wapenda soka popote pale, jitokezeni kwa wingi kuwashangilia Mabingwa wa Nchi wenye kuonyesha radha ya mpira uwanjani, yaani burudani pamoja na ushindi...
Kandanda la viwango vilivyothibitishwa na Shirikisho la Soka Afrika CAF..NguvuMoja