hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,642
- 19,018
Mwez ujao kutakuwa na mashindano ya Draft ya kumtafuta bingwa wa Tanzania
Kwasasa Hapa Dar es salaam kumekuwa na mechi za Man to Man , za mabingwa wa draft wakijiandaa kuelekea Mashindano hayo makubwa .
Mabingwa Kama Cr7, Noel, dogo Sisco, Gaidi, Dogo Ally, dogo Yassin, Saiya, Omary Kiwende N.k
EXCLUSIVE
Timu: Cr7 Mnyama Vs Fundi Saiya ( Confirmed )
Mdhamini : Dany Denyo ( Tajiri Huyu )
Zawadi: 100,000/= ( Winner 80k na looser 20k )
Lini: Jumatatu tareh 11 July 2022 saa kumi jioni
Uwanja: Kitunda Stadium
Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu
Mratibu: Kaiza
Photograper: Kaiza ( 5000 )
Kamisaa: Riro (5000)
Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 20 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 25 kila mmoja kama kifuta jasho
Cr7 anapasha misuli na lengo lake apate gemu fitiness Njoo umuone Cr7 live bila chenga ndani ya kitunda Stadium
EXCLUSIVE
Timu: Dogo Sisco Vs Gaidi ( Confirmed )
Mdhamini : Dany Denyo ( Tajiri Huyu )
Zawadi: 90,000/= ( Winner 75k na looser 15k )
Lini:Jumapili tareh 17 July 2022 saa kumi jioni
Uwanja: Kinondoni Manyanya
Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu
Mratibu: Mkorea
Photograper: Mkorea ( 5000 )
Kamisaa: Beka(5000)
Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 15 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 20 kila mmoja kama kifuta jasho
Sisco ndie mfalme wa madraft kwa sasa na Dunia inatambua mchango wake,,,
Kesho ligi ya kuwatafuta wawakilishi wa ligi ya kumtafuta bingwa wa Tanzania Kwa mkoa wa iringa itaanza saa sista kamili mchana,washiriki wenye sifa kwa mkoa wa Iringa fikeni Kwa wakati ili kiwake na bingwa apatikane Kwa kete.
Mtuletee Dar bingwa anayejiweza ,sio Round ya kwanza tu Anakula suti
Kwasasa Hapa Dar es salaam kumekuwa na mechi za Man to Man , za mabingwa wa draft wakijiandaa kuelekea Mashindano hayo makubwa .
Mabingwa Kama Cr7, Noel, dogo Sisco, Gaidi, Dogo Ally, dogo Yassin, Saiya, Omary Kiwende N.k
EXCLUSIVE
Timu: Cr7 Mnyama Vs Fundi Saiya ( Confirmed )
Mdhamini : Dany Denyo ( Tajiri Huyu )
Zawadi: 100,000/= ( Winner 80k na looser 20k )
Lini: Jumatatu tareh 11 July 2022 saa kumi jioni
Uwanja: Kitunda Stadium
Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu
Mratibu: Kaiza
Photograper: Kaiza ( 5000 )
Kamisaa: Riro (5000)
Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 20 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 25 kila mmoja kama kifuta jasho
Cr7 anapasha misuli na lengo lake apate gemu fitiness Njoo umuone Cr7 live bila chenga ndani ya kitunda Stadium
EXCLUSIVE
Timu: Dogo Sisco Vs Gaidi ( Confirmed )
Mdhamini : Dany Denyo ( Tajiri Huyu )
Zawadi: 90,000/= ( Winner 75k na looser 15k )
Lini:Jumapili tareh 17 July 2022 saa kumi jioni
Uwanja: Kinondoni Manyanya
Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu
Mratibu: Mkorea
Photograper: Mkorea ( 5000 )
Kamisaa: Beka(5000)
Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 15 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 20 kila mmoja kama kifuta jasho
Sisco ndie mfalme wa madraft kwa sasa na Dunia inatambua mchango wake,,,
Kesho ligi ya kuwatafuta wawakilishi wa ligi ya kumtafuta bingwa wa Tanzania Kwa mkoa wa iringa itaanza saa sista kamili mchana,washiriki wenye sifa kwa mkoa wa Iringa fikeni Kwa wakati ili kiwake na bingwa apatikane Kwa kete.
Mtuletee Dar bingwa anayejiweza ,sio Round ya kwanza tu Anakula suti