Mchapakazihalisi
Member
- Sep 13, 2016
- 49
- 23
" Tumeshirikiana na wenzetu wa Posta kupeleka vifaa vya TEHAMA kwa watoto walio Vijijini ili kuwawezesha kupata taarifa mbalimbali kama vile matokeo ya mitihani yao na kupata habari mbalimbali kwenye vituo vya Posta, Tumewezesha vituo 10 vya Posta vifaa vya TEHAMA na vinafanya vizuri" alisema Bi.Justina Mashiba.