Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,643
- 113,874
Mkuu Ngonini, nimeipenda objectivity yako kumhusu huyu jaaa yangu na hatma ya upinzani Tanzania. Lets seat and watch, time will tell!.Hutaamini macho yako huyu jamaa yako atakapotupwa nje na wala hutamwona akichukuliwa na UKAWA. Hivi kama wenyewe hawamtaki ni kigezo gani ukawa watakitumia kumchukua na watatumia dodoki gani kumsafisha ili akubalike.kama ukawa watafanya unayoyasema wewe huo ndo utakuwa mwisho wao na ccm watakuwa wameua upinzani kwa ulaini na ukawa hawatakuja kurejea tena kwenye siasa za nchi hii!
Watanzania siyo wajinga na ukawa wanajua hawawezi kujaribu ujinga huu utawagaharimu maisha yao yote. Kama ni technique ccm inataka kuitumia kuua upinzani kwa ulaini basi ukawa waingie huu mkenge mark my word watu hawatawaamini tena wapinzani na hawatakaa wapige kura tena na ccm watakuwa wanarudi madarakani bila upinzani wowote.
Huyo jamaa yako safari yake ni ngumu njia imejaa mbigiri na yuko pekupeku! Kuleni hela zake lakini mjue mnaweza kusababisha mambo ya komba huko mbele!
Pasco